Habari ya majukumu wana JamiiForums, simu yangu imefuta namba za simu, message za whatssap na picture na mambo mengi. Naomba mtu mwenye kujua application ya ku-restore ya kuvirudisha vyote viweze...
WAKUU.
Ninaandaa document muhimu ambayo inahitaji kuweka yaliyomo (Table of contents). Nikiri kuwa mimi ni mtumiaji wa kiwango cha kawaida cha Ms office hivyo napata tabu kidogo katika hili...
Wakuu nimekubali kuwa JF ni kisima cha maarifa.
Napenda kutoa shukurani za dhati kwa wale walonisaidia kuweza kuweka yaliyomo (table of contents) kwenye makala yangu. Ni jana tu niliweka post...
Wakuu kama kuna mtu anatumia internet ya TTCL naomba anipe speed yake hasa ya 3G ambayo hapa DSM ipo pia nimekua napata shida kwenye ku stream hasa mpira kwa sababu naona halotel wamenisaliti au...
As I was surfing around I saw this article and thought I should share and hear your views on it
Cowboy Coders are programmers who write code according to their own rules.
They may be very good...
Mara kwa mara simu hii aina ya nokia x ina display maneno haya
"Can't do this com.android.phone at the momment.''
Halafu inakata net na kujiwasha (simu haizimi ila network inapotea hala inatokea...
Msaada please,
Ndgu wanajamvi simu yangu napata tabu inakataa kusoma line za mitandao mingine nifanye nn manake nikiweka lini za voda au airtel inaandika phone not allowed mm#6 ila tigo na halotel...
Kwa miezi kadhaa sasa watumiaji wa intaneti wamekuwa wakiongelea toleo jipya la PS4 ambayo inasemekana itakuwa ndogo zaidi kuliko toleo la hivi sasa iliyopewa jina la “Sony PlayStation 4 Neo”...
Inaniambia unable to start camera please turn on ur device access or reboot ur phone.... Ku reboot nahofu naweza poteza ma file yangu niliyo save kwenye simu....Naomben msaada kama kuna option...
Good morning jamii forum.
Sasa unaweza kwenda live kwa kutumia account yako ya Facebook. Yaani unaweza kushare na watu kile unachokifanya ukiwa live na marafiki wako wa Facebook wakakuona...
Nawasalimu wadau, naomba kuuliza, juzi nilisimamishwa na trafic nikaambiwa nimeoverspeed kilometa 2 toka walipo na barabara ina kona na milima, nilipo wauliza wapi, jibu umepigwa touch kwa nyuma...
1. Chukua smartphone yako au tablet yako
2. Nenda kwenye settings
3. Shusha chini kabisa itafute "About phone" au "About tablet"
4. Kisha bonyeza hiyo "About
phone" au "About tablet"
5. Halafu...