Kakashi uchiha
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 604
- 415
Hiv hii hiOs inacrash kwangu tu au kwa wote daaa bora laki zangu mbili ningenunua obama zilizobaki ningenywea gambe tu najuuuuta kuifaham
TECNO SIO SIMU AISEEUngesema na aina ya simu japo ishajulikana ni tecno...
Hiv hii hiOs inacrash kwangu tu au kwa wote daaa bora laki zangu mbili ningenunua obama zilizobaki ningenywea gambe tu najuuuuta kuifaham
Sio IOS ni hiOs ya tecnohahahahahahha, lazima i-crash. Siijuhi product ya apple yenye thamani ya laki mbili, hiyo itakuwa ni takataka za China. apple ndio wenye os ya IOS
Tecno ni majanga.... Kila siku tunasema humuHiv hii hiOs inacrash kwangu tu au kwa wote daaa bora laki zangu mbili ningenunua obama zilizobaki ningenywea gambe tu najuuuuta kuifaham
Ni vema ukasema ni aina gani ya simu unayotumia ili tuweze kukusaidia na tuwasaidie na wengine kama wanunue au wasinunue.Hiv hii hiOs inacrash kwangu tu au kwa wote daaa bora laki zangu mbili ningenunua obama zilizobaki ningenywea gambe tu najuuuuta kuifaham
W3lteNi vema ukasema ni aina gani ya simu unayotumia ili tuweze kukusaidia na tuwasaidie na wengine kama wanunue au wasinunue.
Hata sisi wengine baadhi yetu tunatumia hizo simu zenye HIOS lkn hatujakutana na changamoto hizo.
Hahahaha huyu vipiii iphone yenyewe ulionayo ni 3gs....halaf unaongea na kwa taarifa yako ios ina crash na yenyewe sijui hio mpya ila mie nilitumia kwenye 5s ios8 ni shiidah.....ohoooo nishajua kumbe hujui kucrash ni ninihahahahahahha, lazima i-crash. Siijuhi product ya apple yenye thamani ya laki mbili, hiyo itakuwa ni takataka za China. apple ndio wenye os ya IOS
Bro hii sim hata kurooot ni mtihani ila sio kesi mwez wa kumi nitanunua sim nyingineInabidi ubadili operating system mpya
Bro hii sim hata kurooot ni mtihani ila sio kesi mwez wa kumi nitanunua sim nyingine
Flash tuTecno ni shida. Kuna moja ya jamaa yangu inaonrkana ina virus ea nne. Kila tukijaribu kuwaondoa hawaondoki.
inabidi uflash bootloader yako ili uwezi kupdate kwa kutumia memory card.wakuu naombeni msaada nina simh yang samsung galaxy y gt s5360 nilikuwa nataka niipeleke android v4.4.4 nimedownload custom rom yake pamoja na root app yake na cwm recovery zote zikiwa katika mfumo wa zip
inshu ipl kwnye kuinstall from sd card kila nikiclick inaniambia failed to mount sd card je nifanyaje ili niweze update
nawasilisha