Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello Wana JF Tech Nimepata idea Moja Kwa vile Naweza Nunua Vitu kupitia Online Mfano Ebay na Aliexpress pamoja Na Alibaba Vikanifikia Je Ninaweza Kutumia Njia Hii Kununua Vitu Vingi Then Nikaja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombaeni msaada wakuu. Nikitaka kuistall apps nilizotumiwa kwa cm transfer zinaniambia there was a problem of parsing this file kama sijakosea. Naombeni mnisaidie maana Nina files nyingi sana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa au kuelekezwa namna ya kutumia laini mbili za mitandao tofauti kwenye simu moja, mfano nipate sms zote za magroup ya laini hizo kwa muda mwafaka, natanguliza...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Natengeneza BLOG ZA WORDPRESS kwa TZS 3,000/=(Elfu tatu tu) na kukufanyia settings zote za subdomain: mfano www.abc.wordpress.com. Natengeneza Animated web banner,kwa wale wanaotaka kuweka...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
wasalam wakuu natumia samsung galaxy s3 ambayo haina stock app ya fm radio.... msaada kama kuna mtu anafaham app ya fm radio yenye frequency za radio za kibongo ambayo sio ya kustream online...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba msaada on how to unlock simu. Ilikua na pattern sasa mtu kaweka pattern na kukosea for more than 10 times and now the phone is askng for gmail username and siijui cz ckubadili google...
1 Reactions
48 Replies
30K Views
Wadau naomba msaada wa namna ya kutumia internet ya simu yangu kwenye PC kupitia wifi ya simu yangu kwani leo kwa mara ya kwanza nilikuwa nataka nitumie internet ya simu yangu kwenye PC kama...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
samahani wajumbe naomba kujua namna ya kuroot simu ya huawei Y6 Pro. Kingroot imeshindkana
1 Reactions
2 Replies
853 Views
Wakuu kuna simu hapa sumsung s6 inalaini ya halotel kila ukijaribu kucheck/Kuongeza salio au kupiga simu inaleta ujumbe "Phone not allowed MM#6" tusaidiane wakuu jinsi ya kutatua ili tatizo.
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Salamu kwenu: Binafsi si mzoefu ktk kutumia personal computer. Sasa kuna software ya window store iliyokwenye pc yangu.Tatizo kila nikijaribu kuifungua haifunguki....Na badala yake inaniandikia...
0 Reactions
1 Replies
623 Views
Kwema wakuu!Nimeibiwa simu aina ya tecno T410 nahitaji kuifungia isitumike,ninazo IMEI NO ZAKE!
1 Reactions
26 Replies
3K Views
iPad,imac,macbook,Apple ipod en iwatch icloud unlock Available remotely world wide 100% working kasoro iphone pia nauza ipad Air 2Wi-Fi ipo katka good condition.0765-096851 Note:Again exept...
0 Reactions
5 Replies
946 Views
WATU WA PPRA WASHENI SERVER MLIYOWEKA TENDER PORTAL
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Naomba kufahamishwa,bei yaa kutengenezewa App ya blog in tsh ngapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu Kwa yeyote anayehitaji responsive website na database ya kitu chochote kama shule, uhasibu, Rasilimali watu na nk, tupo hapa wataalamu wazoefu kabisa na gharama zetu ni nafuu kabisa piga...
0 Reactions
3 Replies
806 Views
Kwa wale wanaotaka Kufanya biashara ya hosting Pamoja na domain registration, Tunakupa server unlimited kwa gharama nafuu kabisa. Pia tuna design website na system mbalimbali kwa yeyote...
1 Reactions
5 Replies
762 Views
Nimetokea kupenda sana simu zenye projector lakini nataka kujua ni SAMSUNG tu ndio wanatoa hizo simu?? kama kuna kampuni jingine naomba kujua.Nimetumia SAMSUNG galaxy beam i8530 ila sikupenda...
0 Reactions
40 Replies
12K Views
Nifanyeje ili niweze kutumia simu yangu na projector kufanya presentation. Je kuna njia yoyote?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu na Memberwajuxi mliobobea na mitandao w.w.w. kuna onyo linatembea kwenye Whatsapp kuwa wametoa siku 30 tu watumiaji waje wawe wameondia alama ya tiki katika settings za privacy kuwa hutaki...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Niaje wakuu, nahitaji acount ya adsense ambayo ni Pin Virified acount (PVA) au ambayo imeshatumika kuchukua pesa at least once if unayo PM me
0 Reactions
1 Replies
631 Views
Back
Top Bottom