Heshima kwenu wadau.
Hope mko poa kabisa, nahitaji msaada wenu ili kujua tatizo la hii line ya tigo mbona haisomi kwenye simu wakuu.
Ni line iliyokuwa ikitumika siku zote kwenye simu aina ya HTC...
Habari wakuu, Nina jamaa yangu yupo Canada na anasema kuna simu nzuri na bei yake ni cheap. Ila hizo cheap phone ziko locked na network provider wa huko. Anasema mfano, simu nzuri unaweza kuta ni...
Kampuni ya Finland Elisa inasema imefanikiwa kupata kasi mpya ya Gigabait 1.9 kwa sekunde, ikisema hiyo ndio kasi ya juu zaidi kuwahi kupatikana.
Huduma hiyo ya simu yenye kasi zaidi inaweza...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, wakuu naombeni msaada wa kuroot simu tajwa hapo juu sony xperia Z3 ambayo ipo kwenye marshmallow version, nimetumia kila version ya kingroot ila kila inapofika...
Leo niliamua ninunue laini ya hawa jamaa nijaribu ubora wao kwenye internet kusema kweli wamekidhi vigezo sijawahi fikia speed hii kwenye modemu, shida vocha zao tu zinasumbua mpaka urushiwe...
Habari zenu wana jf.
Najua humu kuna wataalamu wa sm.
Mimi kisim changu kina zima na kuwaka ghafla pindi niitumiapo naitumia,
Ikisha zima huanza mwanzo
Nime restore Mara nyingi mno
Lakini wapi...
Natumia galax s3. Nilicopy kitu namaambiwa "copied in clipboard. Kila nikitafuta nilichokicopy sikioni kwenye cm. Hii clipboard iko wapi kwenye cm yangu?
ushamba kweli mzigo
Wakuu wa hili jukwaa nakuja kwenu kuomba msaada...nimenunua huawei mate 8 mwezi uliopita ila mpaka sasa naona kama siifaidi vile maana nshazoea kuroot simu zote nitumiazo...naombeni msaada wenu...
Wakuu naombeni msaada wa codes jinsi ta kuangalia namba ya simcard kwa mtandao wa tigo.
Nimerithishwa mobile wifi ya tigo na huyo alienirithisha hakumbuki simcard number.
Pia kama kuna uwezekano...
Jana Nimepokea Mzigo wangu kutoka Ebay Ingawa Mmoja Bado Hujafika na Unekamilisha Mwezi Sasa Hivi...
Sasa Kuna Jamaa Yangu Mmoja Jana Hiyo Hiyo Akawa Amenipigia Simu Tukapiga Story mbili Tatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.