Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari za muda waheshimiwa Hivi hapa kwetu Tanzania sana sana Dar kuna dealers wanauza motor particularly induction motors, size ndogo, kati na kubwa. Natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mziki wa Sony mini HiFi model GZR999D tatizo ni kwamba nikiongeza sauti unajizima na iyo hali uwa inatokea Mara kwa Mara nakosa data kabisa ya kuenjoy Ila kuna muda una kaa sawa. Msaada...
0 Reactions
3 Replies
954 Views
Naomba msaada nimeingiza game ya singularity nikiifungua naambiwa THE APPLICATION WAS UNABLE TO START CORRECTLY (0xc000007b)
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Nimezunguka mitandao yote kwenye swala la live streaming laini ya vodacom nimewaelewa sana now nacheki chelsea vs liverpool no buffering za kitoto
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Amani iwe kwenu.. Nimepata ka tender kadogo hivi ka ku manage social media accounts za kampuni fulani. sasa nataka nioneshe ubunifu ili mpunga uzidi kuwa mwingi si unajua mkulu bado shimo...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
wana jf, nawezaje kuunganisha vpn ifanye kaz katka apn niliyopo kwani software za vpn nilizonazo hazina sehemu ya kuconfigure apn... naomba msaada kwa anayejua software inayoweza kuunganisha au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kati ya kudownload na ku watch online kipi ni afadhali? i mean hakili Mega bytes nyingi? Nipeni ujanja kabla sijaanza kufanya uamuzi.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu nimeibiwa kasimu kangu ka kupangusa aina ya huawei. Nifanyeje ili kafungwe kasitumike tena kabisa au nikapate? Ninazo imei namba zake. Msaada please
0 Reactions
16 Replies
3K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1114715/ UDOM:Kuna nini Mbona Sijibiwi application yangu?
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Wakuu habari ninaomba mnisaidie jinsi ya kuifanya wifi rooter ya vodacom iwe inatumia line zote,ntashukuru sana kwa msaada
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aloyesoma Information technology(IT) naomba anichek DM au on whatsapp kwa 0744681618.....thanks i advance
0 Reactions
4 Replies
953 Views
1.LUCKY PATCHER Hii inapatikana kwenye websites mbalimbali especially Google unaweza pata APK yake ambayo ukitaka kuInstall 1.nenda settings>unknown sources uziruhusu 2.nenda Install Apk...
2 Reactions
0 Replies
918 Views
Je,Bill unayochajiwa in terms of dollars. Kuna makato yanayofanyika katika Currency Convertion? From TZS to $(Dollars)?
0 Reactions
4 Replies
802 Views
Wakuu nauliza laptop used ambazo keyboard yake ni Germany or French keybord zinafaa kwa matumizi ya kibongo vingine vyote ni sawa kama ram .hdd. cpu mpka 2.8Ghz
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Bogus Phone
1 Reactions
1 Replies
573 Views
Habari ya jumapili wakubwa,hivi naweza kupata smartphone nzur ya bei ya laki mbili,isiwe tecno au itel
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Msaada nina simu yangu galaxy core prime g360p imefungwa inawaka vizuri tatizo haisomi line na inadai activation lock. Mafundi wameishindwa nifanyeje kuifungua
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba kujua site ninayoweza pata series...naitafuta sana series ya rome kuanzia season 2
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Samahan wakuu nahitaji kujua Ipi ni bora zaidi na ipi inafaa kuliko nyingine kati ya sansung galaxy s5 na samsung galaxy j7 kwa ujumla ipi ni nzur kwenye kila kitu kwanzia specification mpka utumiaji
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hii course inatolewa Havard University kupitia mtandaoni (online) na wanafundisha vitopics hivi; -Abstraction, -Algorithms, -Data structures, -Encapsulation, -Resource Management, -Security...
1 Reactions
34 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…