Wadau kwenye jukwaa hili natafuta component tajwa. Ni kwa ajili ya drain pump ya Indesit wixl 143s washing machine. Nipo Arusha mjini, nimetafuta kwenye maduka ya electronics bila mafanikio.
Wataalamu wa soka kwa kutumia Simu za android IPI ni app nzuri ambayo haigandigandi kati ya hizo nilizoziwakilisha kwenu yaani,mobikora,mobdro na kodi au kama kuna nyingine zaidi ya hizo.
Ukiangalia smartphone ina vitu vingi sana ambavyo wengi wetu hawavitumii au hawajui. Wataalamu wa smartphone au techonojia ya simu mje mtiririke hapa kwa unachokijua.
Inakuje baadhi contact...
Kampuni moja ya Israel inayowasaidia polisi kudukua simu za washukiwa wa uhalifu nchini Israel Cellebrite, imesema kuwa inaweza kudukua simu yoyote aina ya smartphone.
Kampuni hiyo iligonga...
Simu yangu aina ya Samsung s4 imepoteza mtandao wiki ya pili sasa, japo bar za mtandao zipo full ila inagoma kuregister mtandao. Wakt nanunua waliiunlock hivyo nahs imei zake zilibadilika hapo...
Smile unlimited naona imeniangusha sana mwezi uliopita ile ya 70,000 kuna wakati hata page kufunguka ilikuwa shida.
Nataja nijaribu Smart, ya 70,000 kwa mwezi kuna mtu anaitumia sasa hivi? na ile...
Habari
Naombeni MSAADA nahitaji custom domain kwa ajiri ya blog yangu ila tatizo sina visa card VIP kuna njia yoyote naweza ipata passipo kuwa na visa card
Hbari wadau nina Nokia lumia 830.Kioo kinarespond vizuri ishu i zile button tatu za chini yaani search, home na return hazirespond.Nimeifungua na kuweka weka ikanda bado hazirespod.Nimepeleka kwa...
MABADILIKO kwenye mtandao maarufu wa simu, WhatsApp, yataanza rasmi leo wakati kipindi cha siku 30 cha kukubali masharti mapya kitakapomalizika.
Mabadiliko hayo yanawataka watumiaji kusambaza...
Juzi wakati naendelea na utundu utundu wa simu nkajikuta naweka rom ya h6 kwenye TECNO p5....... Ikafanikiwa kuflash lakini tangia hapo inawaka lakin hata Maneno mf TECNO hailet...
Salaam JF.
Jamani kuna ndugu yangu kanitumia router na Adsl box plus ethernet cable na mobile kutoka Uk, sasa nimekukuruka kutengeneza wi-fi iliniweze kusambaza lakini nimeshindwa inaonyesha kule...
Kwa wanao fahamu frequency wanazotumia startimes kurusha matangazo yao mkoani Mbeya naomba kuzijua.
Hizi ni baadhi nilizofanikiwa kuzipata
DVB-T
Agape(ting) 530Mhz bandwidth 8mhz
Agape(ting)...