mkuu, nawezaje kulipa hyo 8$ pasipo kutumia card ya benki. kuna njia nyingine ya kulipa?Tumia DC-Unlocker nafikiri inauzwa kama 8$ ku Unlock hiyo modem!
Ukisha press Unlock Sniff AT commands itakazotuma kwenye modem kui Unlock afu ututumie hapa ili jukwaa letu tuweze kupata hayo maujanja ya ku Unlock
wasiliana na Mwl.RCT ana huduma ambako naweza kukulipia kitu Online then unamlipa kwa Mobile pesamkuu, nawezaje kulipa hyo 8$ pasipo kutumia card ya benki. kuna njia nyingine ya kulipa?