h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,532
- 3,316
Habari wana tech,
Leo tufahamishane kuhusu wifi hotspot zenye login page, mara nyingi hufahamika kama captive portal, hii mifumo hutumika sana kwenye migahawa ya kisasa na mahoteli ya kisasa, na pia kuna baadhi ya ISP hutumia huu mfumo kusambaza internet via wifi.
Jinsi inavyofanya kazi;
Mtumiaji wa computer au smartphone anapo search wifi networks kama zipo utakuta baadhi ni secured kwa maana zinahitaji WEP au WPA/WPA2 key (password) na nyingine huwa open kwa maana unaweza ku connect bila kuhitaji password, Hotspot zinazotumia captive portal mara nyingi huwa open na mtumiaji huweza ku connect bila kuhitajika kuingiza password isipokuwa utakaribishwa na login page itakayotaka uingize voucher code au username na password ili uweze kutumia internet, taarifa zote zinakuwa zinahifadhiwa katika database ya server, kupata voucher codes inategemea na mtoa huduma kama ni mgawaha wanaweza kutoa kama promo code au offer baada ya kununua huduma mfano chakula, Limitation zipo nyingi inaweza kuwa time based, au volume based. Kwa msaada wa server an softwares wapo na total control kwa clients wote waliounganishwa kwenye network husika.
Hapo juu nimejaribu kuchambua ufanyaji wake kazi kwa kifupi zaidi yapo mengi zaidi ya hayo, lengo haswa la huu uzi ni kuelekezana namna ya kutengeneza wifi hotspot yenye captive portal feature kupitia PC yako yenye wifi au router. Hayo niliyoeleza hapo juu yote unaweza kufanya kwenye PC yako iwapo ina wifi, najua tumezoea kutumia wifi tethering za kawaida kwenye smartphone na pc ila kuna muda unatamani uweze ku control clients wako inakuwia vigumu kwasababu ukishaweka password tu basi hamna kingine unaweza kufanya.
Kuna software mbili tu zitakazotumika,
swali la msingi je ni nini haswa hii hotspot inaweza fanya;
1.PC yako ndio itakuwa server
2.Utaweka users kadri unavyotaka (username & password) na yeyote anaweza kujisajili bila kupata access ya internet mpaka umpe ruksa aidha kwa malipo au unavyojua wewe.
3.Unaweza ku generate voucher codes kama hutaki watumie user id
4.Unaweza control speed kwa clients wote waliokuwa connected kulingana na bandwidth iliyopo
5.Unaweza ku terminate client yeyote atakayeenda kinyume na matakwa yako
6.Unaweza block sites ambazo hutaki wavisit
7.Unaweza kuweka free site ambazo mtu asiye na voucher au user id anaweza access, idadi ni utakayo amua wewe.
8.Yeyote atakaye connect kwenye wifi yako atakutana na login page, anaweza kuingiza voucher code au user id. Voucher codes una generate wewe admin ya muda unaotaka inaweza kuwa wiki, siku masaa au dakika, na unaweza generate nyingi tu na muda wake wa ku expire unaweka kama itumike ndani ya saa au siku au ikishatumika mara moja isifanye kazi tena na mengineyo mengi.
9.Zipo feutures nyingi tu hizo ni baadhi zilizonivutia.
Kinachohitajika;
Computer ; laptop/desktop [lazima iwe na wifi, yaweza kuwa USB au built in wifi] router na access point pia zinaweza tumika.
Internet conectivity; yoyote kati ya hizi, 4G/3G/wifi/LAN etc
softwares;
Wifi creator -Hii itatengeneza virtual router kwenye pc yako
Myhotspot -Hii itafanya yote yaliyoelezwa hapo juu
wifi creator
Hiyo ndiyo yatengeneza virtual router ni simple na rahisi sana kutumia.
Myhotspot
Myhotspot ndiyo hiyo
Login page kwa client
Installation na configarion ni rahisi sana kufanya kwa hiyo sintaweka steps zote nitaweka link yao hapa kwa atakaekwama apitie hapa au uliza tutasaidiana LINK.
Binafsi nimeitumia iko vizuri sana na pia login page unaweza kui customize kadri unavyotaka, kwa hiyo kwa wale mliokuwa mkiombwa wifi tethering na mnachukia mioyoni juu ya uliwaji wa MB mithili ya pampu za sheli ni wakati sasa wa ku control bando lako kadri upendavyo.
Na pia ni nzuri kibiashara kama mtu atakuwa serious na vifaa vizuri inaweza kuwa sehemu ya ujasiriamali.
Hapa chini nikiijaribu kwa kutumia PC tofauti.
Leo tufahamishane kuhusu wifi hotspot zenye login page, mara nyingi hufahamika kama captive portal, hii mifumo hutumika sana kwenye migahawa ya kisasa na mahoteli ya kisasa, na pia kuna baadhi ya ISP hutumia huu mfumo kusambaza internet via wifi.
Jinsi inavyofanya kazi;
Mtumiaji wa computer au smartphone anapo search wifi networks kama zipo utakuta baadhi ni secured kwa maana zinahitaji WEP au WPA/WPA2 key (password) na nyingine huwa open kwa maana unaweza ku connect bila kuhitaji password, Hotspot zinazotumia captive portal mara nyingi huwa open na mtumiaji huweza ku connect bila kuhitajika kuingiza password isipokuwa utakaribishwa na login page itakayotaka uingize voucher code au username na password ili uweze kutumia internet, taarifa zote zinakuwa zinahifadhiwa katika database ya server, kupata voucher codes inategemea na mtoa huduma kama ni mgawaha wanaweza kutoa kama promo code au offer baada ya kununua huduma mfano chakula, Limitation zipo nyingi inaweza kuwa time based, au volume based. Kwa msaada wa server an softwares wapo na total control kwa clients wote waliounganishwa kwenye network husika.
Hapo juu nimejaribu kuchambua ufanyaji wake kazi kwa kifupi zaidi yapo mengi zaidi ya hayo, lengo haswa la huu uzi ni kuelekezana namna ya kutengeneza wifi hotspot yenye captive portal feature kupitia PC yako yenye wifi au router. Hayo niliyoeleza hapo juu yote unaweza kufanya kwenye PC yako iwapo ina wifi, najua tumezoea kutumia wifi tethering za kawaida kwenye smartphone na pc ila kuna muda unatamani uweze ku control clients wako inakuwia vigumu kwasababu ukishaweka password tu basi hamna kingine unaweza kufanya.
Kuna software mbili tu zitakazotumika,
swali la msingi je ni nini haswa hii hotspot inaweza fanya;
1.PC yako ndio itakuwa server
2.Utaweka users kadri unavyotaka (username & password) na yeyote anaweza kujisajili bila kupata access ya internet mpaka umpe ruksa aidha kwa malipo au unavyojua wewe.
3.Unaweza ku generate voucher codes kama hutaki watumie user id
4.Unaweza control speed kwa clients wote waliokuwa connected kulingana na bandwidth iliyopo
5.Unaweza ku terminate client yeyote atakayeenda kinyume na matakwa yako
6.Unaweza block sites ambazo hutaki wavisit
7.Unaweza kuweka free site ambazo mtu asiye na voucher au user id anaweza access, idadi ni utakayo amua wewe.
8.Yeyote atakaye connect kwenye wifi yako atakutana na login page, anaweza kuingiza voucher code au user id. Voucher codes una generate wewe admin ya muda unaotaka inaweza kuwa wiki, siku masaa au dakika, na unaweza generate nyingi tu na muda wake wa ku expire unaweka kama itumike ndani ya saa au siku au ikishatumika mara moja isifanye kazi tena na mengineyo mengi.
9.Zipo feutures nyingi tu hizo ni baadhi zilizonivutia.
Kinachohitajika;
Computer ; laptop/desktop [lazima iwe na wifi, yaweza kuwa USB au built in wifi] router na access point pia zinaweza tumika.
Internet conectivity; yoyote kati ya hizi, 4G/3G/wifi/LAN etc
softwares;
Wifi creator -Hii itatengeneza virtual router kwenye pc yako
Myhotspot -Hii itafanya yote yaliyoelezwa hapo juu
wifi creator
Hiyo ndiyo yatengeneza virtual router ni simple na rahisi sana kutumia.
Myhotspot
Myhotspot ndiyo hiyo
Login page kwa client
Installation na configarion ni rahisi sana kufanya kwa hiyo sintaweka steps zote nitaweka link yao hapa kwa atakaekwama apitie hapa au uliza tutasaidiana LINK.
Binafsi nimeitumia iko vizuri sana na pia login page unaweza kui customize kadri unavyotaka, kwa hiyo kwa wale mliokuwa mkiombwa wifi tethering na mnachukia mioyoni juu ya uliwaji wa MB mithili ya pampu za sheli ni wakati sasa wa ku control bando lako kadri upendavyo.
Na pia ni nzuri kibiashara kama mtu atakuwa serious na vifaa vizuri inaweza kuwa sehemu ya ujasiriamali.
Hapa chini nikiijaribu kwa kutumia PC tofauti.