Wadau nina simu iphone4 toka Japan nimepewa zawadi lakini inagoma kusoma mitandao ya huku. Mwenye kujua wapi naweza kuifungua na kwa gharama gani anijuze. Au ndo haiwezi fanya kazi niwape watoto wachezee?
Duh! Sasa ukiwapa watoto wachezee ndyo itasoma ndugu! Itunze tu maana kila sku maendeleo yaja na ipo siku itakua poa,maana wahenga walisema akiba haiozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.