albavich van dope
Member
- Sep 27, 2016
- 44
- 7
Jaman nsaidien cm yangu n j8nkienda pakutuma audio inakuja recorder na watap record bc amna mzk mngne... Nsaidien wadau [emoji25]
Iyo Google music nawekaje mkuuAu weka google music player...option ya kushare audio itatokea kweny whatsapp
Inaezekana kuna sehem kwa juu yenye symbol ya attachement click then choose your fileJaman nsaidien cm yangu n j8nkienda pakutuma audio inakuja recorder na watap record bc amna mzk mngne... Nsaidien wadau [emoji25]
Pale ndo natumiaga tangu long bt nlvo change phone 2 con tena yanInaezekana kuna sehem kwa juu yenye symbol ya attachement click then choose your file
MKuu Chief Mkwawa na mm nimekumbana na tatizo km hilotumia file manager, nenda kama unataka kuiplay nyimbo chagua button ya share halafu chagua whatsapp
kwanini usitumie file manager? download es file explorer store itafanya kila kitu. fungua file manager lako kisha nenda kwenye mafile yako halafu playMKuu Chief Mkwawa na mm nimekumbana na tatizo km hilo
ila nilihamisha music kutoka Whatsapp na kuzipeleka kwenye Folder la Yahoo na huko zipo salama
sasa nataka niwe nazirudisha ilu kusisikiliza kwenye Whatsapp
ni hapo tu Mkuu
- Basi hata kwa kutumia Yahoo ya kwenye smartphine niwe nazisikiliza kote nashindwa
- huko kwenye Yahoo siioni icon ya Whatsapp
kaka sorry nimejaribu kukufuata P.M bt nimeshindwa ! nina rafiki yangu ana tshs 200,000 ni simu gani nzuri anaweza pata??kwanini usitumie file manager? download es file explorer store itafanya kila kitu. fungua file manager lako kisha nenda kwenye mafile yako halafu play
mkuu budget hio ni ngumu sana kupata simu ya kisasa, mara nyingi inabidi utafute simu used au ukanunue ambayo ni locked kwenye mtandao wa simu yenye specs nzuri. kama unataka used cheki simu kama galaxy grand prime utaipata bei hio.kaka sorry nimejaribu kukufuata P.M bt nimeshindwa ! nina rafiki yangu ana tshs 200,000 ni simu gani nzuri anaweza pata??
kaka kwa mfano akinunu zile za tigo say huwawei inawezakana ku flasha na ukatumia kwa lyn yyte au kuna madhara ya kufanya hvyo?mkuu budget hio ni ngumu sana kupata simu ya kisasa, mara nyingi inabidi utafute simu used au ukanunue ambayo ni locked kwenye mtandao wa simu yenye specs nzuri. kama unataka used cheki simu kama galaxy grand prime utaipata bei hio.
Amna mazala yyt ata wao wanashaurkaka kwa mfano akinunu zile za tigo say huwawei inawezakana ku flasha na ukatumia kwa lyn yyte au kuna madhara ya kufanya hvyo?
hakuna madhara Mkuu, ila pia ukienda Tigo uwe makini kuna simu zinauzwa bei ghali kuliko mtaanikaka kwa mfano akinunu zile za tigo say huwawei inawezakana ku flasha na ukatumia kwa lyn yyte au kuna madhara ya kufanya hvyo?
Mkuu Chief nashukuru sana sikulijua hili la ES File Explorer maanakwanini usitumie file manager? download es file explorer store itafanya kila kitu. fungua file manager lako kisha nenda kwenye mafile yako halafu play