Tujaribu kukimbizana na Dunia nahitaji kuwa hacker naomba uzi huu utumike kunifundisha ili niwe hacker,kwa kuanza nataka nianze kwa kuwa simple hacker nahack vitu vidogo vidogo kama account ya mtu...
Habari wana JF!
Niende moja kwa moja katika lengo.
Hub of innovation ni moja ya vitu muhimu sana ambavyo nchi yetu bado ipo nyuma kwa uwepo wa center hzo. Lengo la uzi huu ni kwamba, nimepata...
Msaaada kwa yeyote anayejua sababu za kupotea kwa memory storage space kwenye simu baada ya ku flash... Aeleze apo na jinsi gan naweza kufanya recovery
Habari ndg zng,
Naomba kusaidiwa app ambayo inatafsiri kwa lugha ya kiingereza kwa mtindo wa subtitles wakati naangalia movies.
Naomba anayefahamu anijuze maana mimi nimetafuta sijaipata.
Msaada...
Wakuu habari za mida hii,nina system ya Bulk Sms Sender ambayo inamrahisishia user au business man kutuma msg kwa customers au staff wote,so nahitaji API provider kama yupo tuwasiliane please.
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious...
kwa wale watalaam wa ku-hack website na database naitaji msaada wenu, nahisi kuna mtu ananidokolea data zangu kupitia utaalam wa kimtandao, kwa yeyote ambae atakua tayari kunipa msaada na...
Kizuri kula na wenzako.
Kama mnavyojua hivi sasa matumizi ya Adsense network yamekuwa ya shida kwa publishers hasa walio na traffic ndogo sana katika site zao au blog zao.
Mitandao kama...
Habari jf
Katika changamoto za baishara nikaona sio mbaya sana kuendana na ulimwengu wa technology, nahitaji wa kunitengenezea au kunisaidai kuweza kumiliki web application itakayo niunganisha mm...
hello guys.
kila nikitaka kuingia watsap inaniambia your phone date is inaccurate. adjust clock and try again.
nimejaribu kufanya yote lkn bado ipo vile vile, naomben ushaur nifanye nn ili...
Pc yangu aina Toshiba model ya zaman kidgo,imelata hitilafu wakuu ni kam screen ake imepasuka ndani upande mmoja kias flani so haidisplay huko,na haioneshi kitu kabsa yani inanipa shida sana wakuu...
Habari za leo wanajamii!! Nimekaa na Lumia 535 dual kwa kama mwaka mmoja na nusu nikifurahia W8.1 Denim hadi W10. Ila sasa naona muda wa mabadiliko ndio umewadia na sijaona bado sababu ya kurudi...