Msaada: Kioo cha laptop hakionyeshi upande mmoja

Msaada: Kioo cha laptop hakionyeshi upande mmoja

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
6,162
Reaction score
6,307
Pc yangu aina Toshiba model ya zaman kidgo,imelata hitilafu wakuu ni kam screen ake imepasuka ndani upande mmoja kias flani so haidisplay huko,na haioneshi kitu kabsa yani inanipa shida sana wakuu nafkiria kuitengeneza sijajua gharama zake? Pia nataka kujua kama naweza fanya lolote kwani inanisumbua make saiv siwezi kuiswitch off kwa sabu natumia window 8 na upande wa settings ni kulia ambako ndo kuna tatzo hilo,naipenda san pc yangu na inanisaidia kusoma kipind hiki tumefungua chuo na nina kazi ya kuandika ripoti msaada wa haraka ndugu wakuu wataalamu mnielekeze hatua za kufanya.
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]
Pich hapa kam ilivyo.
1476810273108.jpg
 

Attachments

  • 1476810174564.jpg
    1476810174564.jpg
    41.9 KB · Views: 63
Pc yangu aina Toshiba model ya zaman kidgo,imelata hitilafu wakuu ni kam screen ake imepasuka ndani upande mmoja kias flani so haidisplay huko,na haioneshi kitu kabsa yani inanipa shida sana wakuu nafkiria kuitengeneza sijajua gharama zake? Pia nataka kujua kama naweza fanya lolote kwani inanisumbua make saiv siwezi kuiswitch off kwa sabu natumia window 8 na upande wa settings ni kulia ambako ndo kuna tatzo hilo,naipenda san pc yangu na inanisaidia kusoma kipind hiki tumefungua chuo na nina kazi ya kuandika ripoti msaada wa haraka ndugu wakuu wataalamu mnielekeze hatua za kufanya.
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]
Pich hapa kam ilivyo.View attachment 420394
hicho kioo ni 16.5, hapo kimepasuka na hakitengenezeki inabidi ku-replace, hicho hakitumii inverter kama upo dar ni-pm, uje ofisini nitakufungia kipya kwa gharama ya sh 130,000
 
hicho kioo ni 16.5, hapo kimepasuka na hakitengenezeki inabidi ku-replace, hicho hakitumii inverter kama upo dar ni-pm, uje ofisini nitakufungia kipya kwa gharama ya sh 130,000
Mkuu mm PC Yangu ni Dell ila sasa tokea majuzi keyboard zinajibonya zenyewe ata sielewi sasa tatizo nn
 
Mkuu mm PC Yangu ni Dell ila sasa tokea majuzi keyboard zinajibonya zenyewe ata sielewi sasa tatizo nn
hapo kuna keys zinajibonyeza zenyewe, itoe halafu igonge kwenye mkono kwa utaratibu hizo keys zitaachia
 
hapo kuna keys zinajibonyeza zenyewe, itoe halafu igonge kwenye mkono kwa utaratibu hizo keys zitaachia
Uh sawa nitajaribu... Nitakupa feedback maana ata nikiwa nafanya kazi zangu nakuta imesha jijaza MANENO
 
hicho kioo ni 16.5, hapo kimepasuka na hakitengenezeki inabidi ku-replace, hicho hakitumii inverter kama upo dar ni-pm, uje ofisini nitakufungia kipya kwa gharama ya sh 130,000
poa mkuu,nitafute hela ntaku pm namb angu
 
Pc yangu aina Toshiba model ya zaman kidgo,imelata hitilafu wakuu ni kam screen ake imepasuka ndani upande mmoja kias flani so haidisplay huko,na haioneshi kitu kabsa yani inanipa shida sana wakuu nafkiria kuitengeneza sijajua gharama zake? Pia nataka kujua kama naweza fanya lolote kwani inanisumbua make saiv siwezi kuiswitch off kwa sabu natumia window 8 na upande wa settings ni kulia ambako ndo kuna tatzo hilo,naipenda san pc yangu na inanisaidia kusoma kipind hiki tumefungua chuo na nina kazi ya kuandika ripoti msaada wa haraka ndugu wakuu wataalamu mnielekeze hatua za kufanya.
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]
Pich hapa kam ilivyo.View attachment 420394
Nina wasiwasi scorpion alikuwa anaitumia JOKE.
Mkanda wake wa hiyo screen baadhi ya sehemu umeathilika. Solution chek kama upo loose au nunua screen nyingine
 
Nina wasiwasi scorpion alikuwa anaitumia JOKE.
Mkanda wake wa hiyo screen baadhi ya sehemu umeathilika. Solution chek kama upo loose au nunua screen nyingine
Hahahaaaa saw,mkuu nitacheki
 
Back
Top Bottom