Elvicepride
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 243
- 65
Kuna Yeyote anayenishauri ninunue Samsung J3 sasahivi au nisubiri za 2017,??
mkuu j3 zina cortex A7 sikushauri kuzinunua Kabisa, na bei yake haina tofauti na j5.
j5 ni nzuri zaidi kwa price range ya 300,000 hadi 400,000. ukipata ya 2016 ni nzuri zaidi ila kuwa makini zipo j5 zisizo na 4g.Unanishauri ipi bruh?
j5 ni nzuri zaidi kwa price range ya 300,000 hadi 400,000. ukipata ya 2016 ni nzuri zaidi ila kuwa makini zipo j5 zisizo na 4g.
Mfano tatizo nini ubora au bei yake kubwa na mimi nataka kununua hiyo j3mkuu j3 zina cortex A7 sikushauri kuzinunua Kabisa, na bei yake haina tofauti na j5.
processor yake ni 32bit wakati j5 ni 64bit, halafu bei yake ni sawa na j5.Mfano tatizo nini ubora au bei yake kubwa na mimi nataka kununua hiyo j3
j5 ni nzuri zaidi kwa price range ya 300,000 hadi 400,000. ukipata ya 2016 ni nzuri zaidi ila kuwa makini zipo j5 zisizo na 4g.
Nikiangalia video YouTube sioni sehem ya kutolea sauti ukiwa unapiga nyimbo kwenye j5 au inatokea kwenye sehem ya kusikilizia endapo unaongea na mtu akikupigia?!
hizo ads zinatokea wapi? ukiwa internet maeneo kama browser na baadhi ya app au hata ukituma sms, whatsapp na maeneo yote?Mkuu Nina Samsung j7 ila sikuhizi inaonesha ads kibao nafanyaje kuziondoa ads
Yeah nimemaanisha Mimi nikiiangalia hiyo j5 katika video zilizopo YouTube mbona sioni speaker kubwa ya kutolea sauti endapo unacheza mziki?mkuu bonyeza volume up au volume down halafu jaribu ku adjust, haikidhi mahitaji ukiongeza au kupunguza sauti kuna kimshale kinatokea kibonyeze itatokea separate volume control.
au nenda setting halafu sound utaona volume tofauti tofauti media, volume ya alarm kuongea na simu etc.
au sijaelewa swali?
Maeneo yote nikwa SMS, hapa jamiiforums, hata contacts popote pale zina pop uphizo ads zinatokea wapi? ukiwa internet maeneo kama browser na baadhi ya app au hata ukituma sms, whatsapp na maeneo yote?
nenda setting halafu security halafu device administrator angalia kuna kitu zaidi ya device manager?Maeneo yote nikwa SMS, hapa jamiiforums, hata contacts popote pale zina pop up
Nimecheck nimekuta device manager pekeyakenenda setting halafu security halafu device administrator angalia kuna kitu zaidi ya device manager?
nenda setting halafu application halafu download application gani hauja install imejieka yenyewe?
then katika app ulioieka mwenyewe ndio inaleta hayo matangazo. kumbuka ulieka nini kabla tatizo halijaanzaNimecheck nimekuta device manager pekeyake
Alaf nimeenda kwenye Applications zote ninezidownload mwenyewe hakuna iliyojiweka
unamaanisha unataka simu yenye speaker kubwa?Yeah nimemaanisha Mimi nikiiangalia hiyo j5 katika video zilizopo YouTube mbona sioni speaker kubwa ya kutolea sauti endapo unacheza mziki?
Sasa unanishauri ni install apps nilizodownload recently maake ninedowload hike pamoja na we chatthen katika app ulioieka mwenyewe ndio inaleta hayo matangazo. kumbuka ulieka nini kabla tatizo halijaanza