Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,269
- 1,107
Habari za leo wanajamii!! Nimekaa na Lumia 535 dual kwa kama mwaka mmoja na nusu nikifurahia W8.1 Denim hadi W10. Ila sasa naona muda wa mabadiliko ndio umewadia na sijaona bado sababu ya kurudi Android coz naona Windows phones do the best for me.
Sasa katika pitapita zangu nikiangalia bajeti yangu nimekutana na hizi simu mbili (Lumia 1520 na Lumia 640 XL) ambazo zimeniweka njia panda kiukweli na pia naona bei zake ni kama zinarandana hivi around 500k.
Naombeni ushauri kuwa niende wapi coz naona in terms of specs 1520 iko juu ila ni ya zamani na kwa upande mwingine hii 640 XL ni ya kawaida sana ila ni mpya.
naombeni ushauri wote kwa ujumla wenu.
Sasa katika pitapita zangu nikiangalia bajeti yangu nimekutana na hizi simu mbili (Lumia 1520 na Lumia 640 XL) ambazo zimeniweka njia panda kiukweli na pia naona bei zake ni kama zinarandana hivi around 500k.
Naombeni ushauri kuwa niende wapi coz naona in terms of specs 1520 iko juu ila ni ya zamani na kwa upande mwingine hii 640 XL ni ya kawaida sana ila ni mpya.
naombeni ushauri wote kwa ujumla wenu.