hashimrashidy
Senior Member
- Sep 11, 2015
- 197
- 145
Nina tv yangu ambayo niliyokuwa natumia takribani miaka mitatu hv...ni tv aina ya sony flat screen jana naiwasha naona inakataa kuendelea kuwaka yani inawaka halafu inabakia neno SONY tu halafu haiendelei sasa sijajuwa tatzo ni nini na pia kama inatengenezeka au haitengenezeki naombonei msaada wenu