msaada jinsi yakubadili software ya smartphone?

msaada jinsi yakubadili software ya smartphone?

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,657
Reaction score
8,589
wadau nina tatzo simu yangu ya tecno imekufa software ghafla je ntafanyaje ipate kufanya kazi kama hapo hawali
 
wadau nina tatzo simu yangu ya tecno imekufa software ghafla je ntafanyaje ipate kufanya kazi kama hapo hawali
Tecno gan ?Fanya hard reset kwanza,wipe data ,wipe cache kisha reboot,

Ikigoma basi itabdi udownload firmware mpya na flash kwa sp flash tool
 
namie huawei yangu y530 imekufa software imegoma kuflashika wamenambia inahtajika software mpya ifanye kazi
 
namie huawei yangu y530 imekufa software imegoma kuflashika wamenambia inahtajika software mpya ifanye kazi
Fanya kutumia memory card ,weka firmware humo na jaribu kuflash,kama imekufa emmc hapo majanga
 
Fanya kutumia memory card ,weka firmware humo na jaribu kuflash,kama imekufa emmc hapo majanga
hizo firmware za kudownload au? na je nikipeleka ofisini kwao wanaweza wakanirekebishia
 
Kuna mkanganyiko nimeshindwa kuelewa ni software au hardware. Kama ni software ni ya kuflash kama ni hardware mara nyingi emmc huwa zinakufa hadi kuibadirisha.
 
Kuna mkanganyiko nimeshindwa kuelewa ni software au hardware. Kama ni software ni ya kuflash kama ni hardware mara nyingi emmc huwa zinakufa hadi kuibadirisha.
mie huawei yangu imegoma kuflashika,ukiiwasha menu haiji inaniambia connect wifi
 
mie huawei yangu imegoma kuflashika,ukiiwasha menu haiji inaniambia connect wifi
Hapo simu yako uliirestore, ili kuweza kutatua tatizo hilo inabidi uwe na internet kwenye simu yako, next hadi utakapofikia kuingiza gmail account ya awali iliyokuwemo kabla haujairestore. Kama maelezo utakayoweka yatakuwa sahihi itafunguka. Hii inaitwa ''Factory Recovery Protection (FRP)'' Kama itashindikana tafuta mtaalamu anaejua, usije ukaiflash kwa kuweka rom mpya (iwe stock au custom), simu yako ndo utakuwa umeiua jumla. Kuna baadhi ya simu naweza kuzifungua FRP lakni sio zote.
 
Hapo simu yako uliirestore, ili kuweza kutatua tatizo hilo inabidi uwe na internet kwenye simu yako, next hadi utakapofikia kuingiza gmail account ya awali iliyokuwemo kabla haujairestore. Kama maelezo utakayoweka yatakuwa sahihi itafunguka. Hii inaitwa ''Factory Recovery Protection (FRP)'' Kama itashindikana tafuta mtaalamu anaejua, usije ukaiflash kwa kuweka rom mpya (iwe stock au custom), simu yako ndo utakuwa umeiua jumla. Kuna baadhi ya simu naweza kuzifungua FRP lakni sio zote.
mkuu nimejaribu kuricover ila nikiiwasha inasema connect via wifi badala ya kuja email ili nijaze
 
Hapo simu yako uliirestore, ili kuweza kutatua tatizo hilo inabidi uwe na internet kwenye simu yako, next hadi utakapofikia kuingiza gmail account ya awali iliyokuwemo kabla haujairestore. Kama maelezo utakayoweka yatakuwa sahihi itafunguka. Hii inaitwa ''Factory Recovery Protection (FRP)'' Kama itashindikana tafuta mtaalamu anaejua, usije ukaiflash kwa kuweka rom mpya (iwe stock au custom), simu yako ndo utakuwa umeiua jumla. Kuna baadhi ya simu naweza kuzifungua FRP lakni sio zote.
ushauri mzuri bora upeleke kwa fundi maana maelekezo yake ni magumu na yanayohitaj uelewa mkubwa kidogo ila kuhusu FRP ni kitu kizuri nimekipenda hata mimi na kama sikosei simu zinazoanza na android 6 ndio zinakuwa na hyo lock ila zinasumbua japo binafs sizani kuna simu itakayonishinda kuirejesha kawaida iwe tecno samsung n.k

USHAURI WA BURE TUACHE MAZOEA YA KURESTORE HOVYO SIMU
 
Daah naona hapa kuna wataalamu. Yangu lg g3 nimejaribu kuflash baada ya kuona simu inapata joto sana. Nikajaribu ku-update ikagoma. Nikatafuta stock kuweka kumbe kuna mambo za activation na sim lock....kwenye kuhangaika kusolve hayo nikajikuta naflash modem na wrong image. Sasa simu ukiwasha inaingia download mode straight....hakuna recovery wala nini. Nikijaribu kuflash hata ikimaliza inajirudisha download mode. Any ushauri?

Chekini site inaitwa xda-developers.com. kwa wale risk takers km mimi. Othrwise peleka kwa fundi. Mi aluta continua mpaka lg yangu iwake....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
wadau nina tatzo simu yangu ya tecno imekufa software ghafla je ntafanyaje ipate kufanya kazi kama hapo hawali

namie huawei yangu y530 imekufa software imegoma kuflashika wamenambia inahtajika software mpya ifanye kazi

Kwanza siwashauri mjaribu hii mambo wenyewe, bora upeleke kwa mtaalamu wa simu. Ila km mna muda na imani jaribuni kuangalia matatizo yenu kwenye site inaitwa.
XDA-Developers Android Forums. Hapo kuna magwiji na maamuma km mimi....ukichukua muda na kutafuta tatizo la simu yako naamini utapata mtu au wawili ambao wamekumbana nalo na utaona utatuzi wao.
 
Back
Top Bottom