kijana ana miaka 28 yupo normal kiuchumi ana shughuli zake, kapata mchumba mwenye 23, wanapendana perfect match, kufika kwao kupeleka posa wazazi wanahitaji MILIONI 7
wazazi kuna muda mwengine ni...
Mambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na...
Ndugu zangu.
Ukiwa na akili yale mazingira yanatisha hakika , yanaogopesha mno hasa linapokuja swala la kulamba .
Wanaume tumekua tukionewa na kunyanyasika dhidi ya dhuluma hii na wengine...
SEHEMU AMBAYO HAIKUPI UHURU SIO SEHEMU SAHIHI.
Maisha mazuri ni yale yanayokupa uhuru wa kuishi vile unavyotaka bila shinikizo kutoka upande wowote wa dunia.
Ikiwa katika mahusiano, kazi/ajira...
ILI KUEPUSHA MAJANGA KWENYE NDOA TURUDI KWENYE MILA ZETU
Siku hizi watu hawazingatii kabisa mambo ya kimila. Tumewadharau sana wazee wetu ndo maana majanga kila siku kwenye ndoa.
Enzi zetu...
Kuna kauli ambayo wanawake wa sasa wanatoa eti ukinichiti na mimi nakuchiti mpaka najiuliza how come
Yaani Ukichiti mume wako na mwanaume mwingine unakuwa unamkomoa au unajikomoa sijawahi...
Kijana anakutana na mwenzake, wanakuwa na mahusiano, baada ya hapo wanaanza kuishi pamoja kama mume na mke.
Wanapata watoto, wanasaidiana majukumu, wanatambulishana ndugu zao, n.k.
Miaka mingi...
Habarini Wana Jamvi.
Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma.
Picha Ilikuwa Hivi.
Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule...
Mwaka jana mwanamke mmoja aliomba Gerald .Aliomba TSH200k as a kwa dharura. mara ya kwanza aliogopa lakini mwanadada alilia . Alikua anaitwa Mwende
Hakuwa na pesa kwa hivo ilibidi aombe...
Kifupi yaani huyu demu katokea kunielewa code ninazopiga sababu ni pamba Kali na kunukia pafyumu nzuriMimi ni mtaalamu sana wa kupangilia pamba Sasa huyu jamaa yeye kuva hajui na pesa Hana Sasa...
Wakati yeye akipambana apate japo Abaya ya sikukuu ya Idi kutoka kwangu yeye analeta zawadi iliyopitwa na wakati ya soksi pea mbili za buku buku nimefadhaika na kuhuzunika sana ni bora asingeleta.
Wewe jimwambafai tu kuwa unawaweza wanawake,ipo siku yako inakuja ukimkorofisha akuachie hako katoto hata ka miaka miwili tu nyumbani yeye aende kwao, utatamani ukapige magoti kwa wakwe zako arudi...
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi.
Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume.
Polygamy ni...
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako.
Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio...
Habari zenu wana JF
Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika
Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake.
Jamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.