Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
kijana ana miaka 28 yupo normal kiuchumi ana shughuli zake, kapata mchumba mwenye 23, wanapendana perfect match, kufika kwao kupeleka posa wazazi wanahitaji MILIONI 7 wazazi kuna muda mwengine ni...
9 Reactions
54 Replies
703 Views
Mambo vipi. Masela wasome hii watapata kitu Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na...
19 Reactions
40 Replies
2K Views
Ndugu zangu. Ukiwa na akili yale mazingira yanatisha hakika , yanaogopesha mno hasa linapokuja swala la kulamba . Wanaume tumekua tukionewa na kunyanyasika dhidi ya dhuluma hii na wengine...
20 Reactions
203 Replies
3K Views
SEHEMU AMBAYO HAIKUPI UHURU SIO SEHEMU SAHIHI. Maisha mazuri ni yale yanayokupa uhuru wa kuishi vile unavyotaka bila shinikizo kutoka upande wowote wa dunia. Ikiwa katika mahusiano, kazi/ajira...
1 Reactions
3 Replies
124 Views
Nimepiga puchu tangu nikiwa na miaka 11 leo nina miaka 44 lakini bado nipo ngangari kitandani.msidanganywe na wauza madawa mkapotezq ela zenu bule.
4 Reactions
39 Replies
518 Views
ILI KUEPUSHA MAJANGA KWENYE NDOA TURUDI KWENYE MILA ZETU Siku hizi watu hawazingatii kabisa mambo ya kimila. Tumewadharau sana wazee wetu ndo maana majanga kila siku kwenye ndoa. Enzi zetu...
12 Reactions
68 Replies
3K Views
Kuna kauli ambayo wanawake wa sasa wanatoa eti ukinichiti na mimi nakuchiti mpaka najiuliza how come Yaani Ukichiti mume wako na mwanaume mwingine unakuwa unamkomoa au unajikomoa sijawahi...
4 Reactions
18 Replies
252 Views
Kijana anakutana na mwenzake, wanakuwa na mahusiano, baada ya hapo wanaanza kuishi pamoja kama mume na mke. Wanapata watoto, wanasaidiana majukumu, wanatambulishana ndugu zao, n.k. Miaka mingi...
7 Reactions
27 Replies
436 Views
Habarini Wana Jamvi. Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma. Picha Ilikuwa Hivi. Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule...
32 Reactions
143 Replies
19K Views
Mwaka jana mwanamke mmoja aliomba Gerald .Aliomba TSH200k as a kwa dharura. mara ya kwanza aliogopa lakini mwanadada alilia . Alikua anaitwa Mwende Hakuwa na pesa kwa hivo ilibidi aombe...
5 Reactions
21 Replies
507 Views
Kifupi yaani huyu demu katokea kunielewa code ninazopiga sababu ni pamba Kali na kunukia pafyumu nzuriMimi ni mtaalamu sana wa kupangilia pamba Sasa huyu jamaa yeye kuva hajui na pesa Hana Sasa...
7 Reactions
91 Replies
1K Views
Kuna elimu nlkuwa nataka kwenu il njpange na maisha.Ila nliigiza kama mzee ndio niipate mawaidha Ambachonmegundua,mabachela...
6 Reactions
14 Replies
205 Views
Wakati yeye akipambana apate japo Abaya ya sikukuu ya Idi kutoka kwangu yeye analeta zawadi iliyopitwa na wakati ya soksi pea mbili za buku buku nimefadhaika na kuhuzunika sana ni bora asingeleta.
12 Reactions
46 Replies
521 Views
Wewe jimwambafai tu kuwa unawaweza wanawake,ipo siku yako inakuja ukimkorofisha akuachie hako katoto hata ka miaka miwili tu nyumbani yeye aende kwao, utatamani ukapige magoti kwa wakwe zako arudi...
5 Reactions
16 Replies
199 Views
Marriage license ==== Fahamu Zaidi Tafiti: Waliopo kwenye ndoa, huishi maisha marefu zaidi tofauti na waliopo 'singo'!
8 Reactions
85 Replies
428 Views
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi. Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume. Polygamy ni...
8 Reactions
13 Replies
720 Views
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
54 Reactions
212 Replies
3K Views
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako. Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio...
12 Reactions
259 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake. Jamani...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Back
Top Bottom