Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,969
- 16,121
Sikiliza, moja ya sifa ya mwanamke ni wana hisia sana kuliko wanaume.
Nikisema neno hisia linamaana pana sana unapaswa kufikiri kwa kina.
Intuition, beauty, mwanamke ndio chanzo cha uzuri ndani ya nyumba, hata kama ni house girl tu na sio mkeo bado yeye ndio kioo au Mng'ao wa nyumba yako kuu naya kifalme
Sasa wale mnao kataa mna hali mbaya, maisha yenu yanakaa stress na kukosa kujibamba
Oooohhh to be Tohashi, kuwa tohashi ni ufungwa flani, ulipewa makaghare ya nini kijanaa?
So, maisha bila ke, kwa mwanaume inakua ni upuuzi, chakula utakula kibaya, utavaa vibaya, utakua hupendi kuoga 😂
Sema nini nisikuchagulie mwanetu.
Nikisema neno hisia linamaana pana sana unapaswa kufikiri kwa kina.
Intuition, beauty, mwanamke ndio chanzo cha uzuri ndani ya nyumba, hata kama ni house girl tu na sio mkeo bado yeye ndio kioo au Mng'ao wa nyumba yako kuu naya kifalme
Sasa wale mnao kataa mna hali mbaya, maisha yenu yanakaa stress na kukosa kujibamba
Oooohhh to be Tohashi, kuwa tohashi ni ufungwa flani, ulipewa makaghare ya nini kijanaa?
So, maisha bila ke, kwa mwanaume inakua ni upuuzi, chakula utakula kibaya, utavaa vibaya, utakua hupendi kuoga 😂
Sema nini nisikuchagulie mwanetu.