Ndoa ni chuo

Ndoa ni chuo

Matunzo 02

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2026
Posts
824
Reaction score
1,632
Kuna nafasi nzuri sana ya kujifunza mambo mengi katika ndoa. Wanandoa unatakiwa kuwa tayari kujifunza.
Ndoa haiwezi kuimarika endapo kila mmoja kati ya wanandoa atang'ang'ania kubaki na misimamo yake aliyokuwa nayo kabla ya kuoana.

HAKUNA MWANAUME BORA DUNIANI AMBAYE ANGEFAA KUPIGIWA MFANO NA HIVYO KUPENDWA NA WANAWAKE WOTE DUNIANI

Kwasababu ni kinyume chake kwamba hakuna mwanamke ambaye atapendwa na wanaume wote inamaana kwamba endapo mmoja kati ya wanandoa atagundua kwamba ameoana na mtu mwenye tabia kinyume na alivyotarajia suluhisho sio kuachana bali kujifunza ili uendane naye.
Hii ndo maana ya kuita ndoa ni chuo.

Matunzo 02
 
Kuna nafasi nzuri sana ya kujifunza mambo mengi katika ndoa. Wanandoa unatakiwa kuwa tayari kujifunza.
Ndoa haiwezi kuimarika endapo kila mmoja kati ya wanandoa atang'ang'ania kubaki na misimamo yake aliyokuwa nayo kabla ya kuoana.

HAKUNA MWANAUME BORA DUNIANI AMBAYE ANGEFAA KUPIGIWA MFANO NA HIVYO KUPENDWA NA WANAWAKE WOTE DUNIANI

Kwasababu ni kinyume chake kwamba hakuna mwanamke ambaye atapendwa na wanaume wote inamaana kwamba endapo mmoja kati ya wanandoa atagundua kwamba ameoana na mtu mwenye tabia kinyume na alivyotarajia suluhisho sio kuachana bali kujifunza ili uendane naye.
Hii ndo maana ya kuita ndoa ni chuo.

Matunzo 02
Chuo cha mataira, mataira wengi wanadumu kwenye ndoa ila ukingia na akili zako ni wiki tatu tu ndoa chali...
 
Kwa kusema ndoa ni chuo basi unakuwa umehalalisha watu kujitoa kwenye fungamano hilo. Maana maisha ya chuo kuna Discontinuation, drop outs na kuahirisha masomo.

Pia unahalalisha wakina Dotto magari ambao wanaamini kuwa kusoma sana sio njia pekee ya kutoboa maisha maana wengi wa waliotoboa hawakupita chuo.
 
Kwa kusema ndoa ni chuo basi unakuwa umehalalisha watu kujitoa kwenye fungamano hilo. Maana maisha ya chuo kuna Discontinuation, drop outs na kuahirisha masomo.

Pia unahalalisha wakina Dotto magari ambao wanaamini kuwa kusoma sana sio njia pekee ya kutoboa maisha maana wengi wa waliotoboa hawakupita chuo.
yote yanayotokea na kwenye ndoa yanatokea
 
Chaajabu ni kwamba.....
Ndoa ndio taasisi pekee hutunukiwa vyeti hata kabla ya kuhitimu....😜
Kataa ndoa mazeee....🫣
 
Back
Top Bottom