Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,340
- 111,565
Yale ya juzi tuliongea na tukayamaliza baada ya kuzingatia ushauri wenu.
Sasa leo huyu mchudenga wangu amekuja na kubwa akisema kwamba..... anashida kubwa na mimi.
Mie nikamjibu kwa upole na ustaarabu kabisa kwamba.... kama anashida na mimi, aweke kwenye whatsap status na shida itakwisha na kupotea baada ya masaa 24.
Eti nimekosea wapi wakuu...😪 maana sioni dalili za leo kupewa chakula cha mwili...😒
Sasa leo huyu mchudenga wangu amekuja na kubwa akisema kwamba..... anashida kubwa na mimi.
Mie nikamjibu kwa upole na ustaarabu kabisa kwamba.... kama anashida na mimi, aweke kwenye whatsap status na shida itakwisha na kupotea baada ya masaa 24.
Eti nimekosea wapi wakuu...😪 maana sioni dalili za leo kupewa chakula cha mwili...😒