Mapenzi yanavyo haribu afya ya mwili na akili

Mapenzi yanavyo haribu afya ya mwili na akili

mlisha

Member
Joined
Aug 23, 2026
Posts
17
Reaction score
38
Ipo hivi jamaa yangu anaishi na mke ambaye tayari Wamejaaliwa kupata watoto wawili ,sasa anasema mwaka jana waliingia kwenye mgogoro mkubwa baada ya kugundua mke wake alikuwa akimsaliti japo huo usaliti ulitokea kipindi cha nyuma hili suala limefika pabaya jamaa aliamua kumufukuza waifu nyumbani kwake Ila mke amegoma kuondoka na amemsihi jamaa kuwa alishaachana na usaliti anaomba amsamehe waendelee kuishi.mme anagoma sasa mwanamke yupo pale kwake ana mawazo mengi amekonda sana kibao kimegeuka lawama zimehamia up upande wa mwanaume watu wanasema anamnyanyasa mke wake jamaa yupo njia panda napia inaonekana mtoto wa kwanza jamaa alipakaziwa hivyo amegoma kusamehe anacho omba ushauri ni kuhusu mke kuonekana kama ananyanyaswa maana amekonda baada ya mme kuujua usaliti wake
 
Ipo hivi jamaa yangu anaishi na mke ambaye tayari Wamejaaliwa kupata watoto wawili ,sasa anasema mwaka jana waliingia kwenye mgogoro mkubwa baada ya kugundua mke wake alikuwa akimsaliti japo huo usaliti ulitokea kipindi cha nyuma hili suala limefika pabaya jamaa aliamua kumufukuza waifu nyumbani kwake Ila mke amegoma kuondoka na amemsihi jamaa kuwa alishaachana na usaliti anaomba amsamehe waendelee kuishi.mme anagoma sasa mwanamke yupo pale kwake ana mawazo mengi amekonda sana kibao kimegeuka lawama zimehamia up upande wa mwanaume watu wanasema anamnyanyasa mke wake jamaa yupo njia panda napia inaonekana mtoto wa kwanza jamaa alipakaziwa hivyo amegoma kusamehe anacho omba ushauri ni kuhusu mke kuonekana kama ananyanyaswa maana amekonda baada ya mme kuujua usaliti wake
Mwanamke msaliti havumiliki ,huyo ni wa kupigwa chini aende kwa huyo bwana wake!
 
Ipo hivi jamaa yangu anaishi na mke ambaye tayari Wamejaaliwa kupata watoto wawili ,sasa anasema mwaka jana waliingia kwenye mgogoro mkubwa baada ya kugundua mke wake alikuwa akimsaliti japo huo usaliti ulitokea kipindi cha nyuma hili suala limefika pabaya jamaa aliamua kumufukuza waifu nyumbani kwake Ila mke amegoma kuondoka na amemsihi jamaa kuwa alishaachana na usaliti anaomba amsamehe waendelee kuishi.mme anagoma sasa mwanamke yupo pale kwake ana mawazo mengi amekonda sana kibao kimegeuka lawama zimehamia up upande wa mwanaume watu wanasema anamnyanyasa mke wake jamaa yupo njia panda napia inaonekana mtoto wa kwanza jamaa alipakaziwa hivyo amegoma kusamehe anacho omba ushauri ni kuhusu mke kuonekana kama ananyanyaswa maana amekonda baada ya mme kuujua usaliti wake
Andika vizuri tuelewe Kisa
 
Si amsamehe tu, aanze upya?

Kama she's willing mpaka kukonda kwa ajili yake means amesha jifunza makosa.

Amsamehe na wajenge familia.
Kabisa maana yake huyo Mwanamke Yuko commited kwa Ndoa licha ya makosa ya mwanzo, wale vihiyo ukiwambia nenda kwenu ndio imepiga chura Tele ili akitembeze vizuri
 
Amwache mwanamke anayeamua kubeba mpaka mimba ya mtu mwingine huku unaishi naye halafu anakusingizia wewe sio bahati mbaya ni amedhamiria ukimuacha ukaendelea kuishi naye hakuna rangi utaacha kuona, habari za kukonda aachane nazo
 
Mwanamke ni mdanganyifu huyo, amebeba mimba ya mwanaume mwingine huku anaishi na mumewe, ni hatari sana hiyo ni dharau kubwa mno. Huyo mwanamke sio tu kwamba sio mwaminifu bali ni mdanganyifu na mlaghai hafai mpaka hapo
Mimi naona huenda alisha pita na alifanya siri kwa kuogopa mumewe a kijua atafura

Si pia Umesoma hapo jamaa amekuwa kugundua hayo baadae, ina maanisha mwanamke alikuwa kasha acha
 
Mimi naona huenda alisha pita na alifanya siri kwa kuogopa mumewe a kijua atafura

Si pia Umesoma hapo jamaa amekuwa kugundua hayo baadae, ina maanisha mwanamke alikuwa kasha acha
Kitendo cha mwanamke kubeba mimba ya mwanaume mwingine na kuzaa huyo mtoto na kumsingizia mume wake, hicho kitendo unakitafsiri vipi? Baba wa mtoto akianza kudai mtoto wake utasema kuna ndoa hapo?
 
Kitendo cha mwanamke kubeba mimba ya mwanaume mwingine na kuzaa huyo mtoto na kumsingizia mume wake, hicho kitendo unakitafsiri vipi? Baba wa mtoto akianza kudai mtoto wake utasema kuna ndoa hapo?
Wangapi wameoa wanawake walio zalishwa? Inategemea kama baba mzazi wa huyo mtoto wanachukua responsibility au laa, ila mwanaume kusamehe huyo mwanamke inawezekana vizuri tu
 
Mimi naona huenda alisha pita na alifanya siri kwa kuogopa mumewe a kijua atafura

Si pia Umesoma hapo jamaa amekuwa kugundua hayo baadae, ina maanisha mwanamke alikuwa kasha acha
Kwani kuwa ya zamani, yanafanya huyo mtoto awe wa mume wake?
Huyu mtoto ataendelea kuwa wa bwana mwingine mpaka mwisho wa nyakati.
 
Kwani kuwa ya zamani, yanafanya huyo mtoto awe wa mume wake?
Huyu mtoto ataendelea kuwa wa bwana mwingine mpaka mwisho wa nyakati.
Ndio ila sio kigezo cha kumhukumu maisha yake yote
 
Back
Top Bottom