Kila nikutanapo na majina haya
1. kapeace
Nadhania kichwani kwamba ni mdada wa makamo ambaye ni mrefu si sana ila ana mguu fulani wa bia, ambaye natambua fika kwamba kaolewa na mumewe ndo...
Ninamaliza mwaka wa tatu Sasa wa kuweka Nia ya kumwacha Kila mara maana ni jeuri sana huyu mwanamke. Tatizo linakuja hapa kwenye huu udhaifu nilionao wa kupenda nyanshi lililonona ambalo huyu...
Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa...
Mchagua Jembe sio Mkulima na wahenga wakaongeza kuwa penye Miti mingi hapana wajenzi.
Wanaume halisi huwa hatuchagui wanawake kutokana na Genes zetu purely ni za Kiume hivyo basi kila kiumbe...
Wakuu,
Leo nikiwa katika mtandao wa Instagram nilimsikia Oscar Oscar akisema ya kuwa wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa kwisha
Na pia bingwa wa magari alisema kama...
Haiwezekani mtu umelala unaamka unakutwa ushaungwa kwwnye magroup whatp tena magroup zaidi ya 2....
Na watu washajipa muongozo kabisa kianzio 100,000.... Unaangalia yale majina yapo kama 200...
Salaam. wakuu kina kitu kidogo nilitaka walau kwenu nyinyi mtazamo wenu je hakitoleta shida huko mbeleni
Inshu nzima iko hivi . kuna demu flani nilikutana nae maeneo flani demu kiukweli...
Hakika usiombe ukutane na haya masaibu ninakutana nayo sasa.
Huku kusoma uzeeni nako noma kweli.
Jamani wale watoto walokuwa wanagomba kila siku wamekuwa na
kwa sasa wanasoma....ila hawjaacha...
Nimekuwa nikiwasiliana na kijana mdogo mwenye aliepangiwa kazi huko Mbeya, katika story za mambo ya maandalizi ya kuoa yeye anapenda kuoa mwanamke ambae hana mtoto lakini kalalamika hapo Mbeya...
Hofu yangu haitoki kwa mzee wangu; inatoka kwa mwanamke niliyempa kiapo cha, "hadi kifo kitutenganishe."
Mzee wangu ni mfanyabiashara wa mazao kutoka mkoani. Mara kwa mara hupata safari za kuja...
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma.
Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni...
Wanaume hii inaweza kuwa chanzo cha mwanaume kuoa mwanamke ayeona ni Mtamu kitandani,na Mtundu?
Au wewe uliangalia tabia,utamu utaupata kwenye kuchepuka??
Au wewe ulioa mwanamke mtamu...
Mtu umeachana nae lakini kwa nini roho na moyo unakusuta? Kwa nini usiendelee na maisha yako ? Ukimuona ana mtu mwingine unaumia, amependeza wewe unamtamani, kwa nini unakuwa hivyo ili hali mliachana?
"Kwa mfano Diamond kazaa na mwanamke A mtoto wa kike ambae ni damu yake kabisaa kisheria za dini anaruhusiwa kumwoa mtoto yule kwasababu ni wa nje ya ndoa alipatikana kwa njia ya uzinifu, ndo uone...
Kwema?
Aisee kuna mwanamke unaweza kuwa nae kimahusiano na mambo yako yakaenda vizuri sana mpka ukashanga natolea mfano mdogo huyu wa kwangu.
Aliniomba elfu 40,00/= nikamuambia sina hela niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.