Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kila nikutanapo na majina haya 1. kapeace Nadhania kichwani kwamba ni mdada wa makamo ambaye ni mrefu si sana ila ana mguu fulani wa bia, ambaye natambua fika kwamba kaolewa na mumewe ndo...
11 Reactions
103 Replies
14K Views
Ninamaliza mwaka wa tatu Sasa wa kuweka Nia ya kumwacha Kila mara maana ni jeuri sana huyu mwanamke. Tatizo linakuja hapa kwenye huu udhaifu nilionao wa kupenda nyanshi lililonona ambalo huyu...
2 Reactions
19 Replies
261 Views
  • Redirect
Nini hupeleka mabinti na wanawake wengi single mothers kuwa na mtoto mmoja tu?
1 Reactions
Replies
Views
Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo) Utawambuaje? Hawatoi bali wanapokea Hawafuati bali wanafuatwa Hawachangi bali wanachangiwa...
62 Reactions
233 Replies
38K Views
Mchagua Jembe sio Mkulima na wahenga wakaongeza kuwa penye Miti mingi hapana wajenzi. Wanaume halisi huwa hatuchagui wanawake kutokana na Genes zetu purely ni za Kiume hivyo basi kila kiumbe...
13 Reactions
96 Replies
790 Views
Wakuu, Leo nikiwa katika mtandao wa Instagram nilimsikia Oscar Oscar akisema ya kuwa wanawake wa kichagga ni wazuri sana kabla hujawaoa ila ukishawaoa kwisha Na pia bingwa wa magari alisema kama...
10 Reactions
54 Replies
675 Views
Haipiti mda sijakuwaza kwa kweli la mama umeuteka moyo wangu cocastic kwa kwel ww ndio faraja ya moyo wangu.
13 Reactions
189 Replies
4K Views
Haiwezekani mtu umelala unaamka unakutwa ushaungwa kwwnye magroup whatp tena magroup zaidi ya 2.... Na watu washajipa muongozo kabisa kianzio 100,000.... Unaangalia yale majina yapo kama 200...
7 Reactions
23 Replies
321 Views
Salaam. wakuu kina kitu kidogo nilitaka walau kwenu nyinyi mtazamo wenu je hakitoleta shida huko mbeleni Inshu nzima iko hivi . kuna demu flani nilikutana nae maeneo flani demu kiukweli...
0 Reactions
9 Replies
180 Views
Mwamba kakwepa kiunzi cha wadangaji wa bongo njaa kali. Kaenda kwenye ufalme wa maziwa na asali, familia bora ya Ruto. Poleni sana wadangaji lia-lia
3 Reactions
11 Replies
201 Views
Hakika usiombe ukutane na haya masaibu ninakutana nayo sasa. Huku kusoma uzeeni nako noma kweli. Jamani wale watoto walokuwa wanagomba kila siku wamekuwa na kwa sasa wanasoma....ila hawjaacha...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimekuwa nikiwasiliana na kijana mdogo mwenye aliepangiwa kazi huko Mbeya, katika story za mambo ya maandalizi ya kuoa yeye anapenda kuoa mwanamke ambae hana mtoto lakini kalalamika hapo Mbeya...
6 Reactions
42 Replies
952 Views
Hofu yangu haitoki kwa mzee wangu; inatoka kwa mwanamke niliyempa kiapo cha, "hadi kifo kitutenganishe." Mzee wangu ni mfanyabiashara wa mazao kutoka mkoani. Mara kwa mara hupata safari za kuja...
7 Reactions
50 Replies
713 Views
Salam salam ndugu, jamaa, washkaji na marafiki. Natoa salam hizi nikiwa sina akili zangu timamu kutokana na jambo nililoshuhudia siku chache nyuma. Kama kichwa cha habari kinavyosema, mimi ni...
28 Reactions
146 Replies
12K Views
Wanaume hii inaweza kuwa chanzo cha mwanaume kuoa mwanamke ayeona ni Mtamu kitandani,na Mtundu? Au wewe uliangalia tabia,utamu utaupata kwenye kuchepuka?? Au wewe ulioa mwanamke mtamu...
4 Reactions
17 Replies
209 Views
Mtu umeachana nae lakini kwa nini roho na moyo unakusuta? Kwa nini usiendelee na maisha yako ? Ukimuona ana mtu mwingine unaumia, amependeza wewe unamtamani, kwa nini unakuwa hivyo ili hali mliachana?
2 Reactions
29 Replies
385 Views
Wanawake hao hawajakomaa wana utoto mwingi.ila akifika 30 nakuendelea sasa anaweza akawa mke maana anajitambua.
10 Reactions
72 Replies
869 Views
"Kwa mfano Diamond kazaa na mwanamke A mtoto wa kike ambae ni damu yake kabisaa kisheria za dini anaruhusiwa kumwoa mtoto yule kwasababu ni wa nje ya ndoa alipatikana kwa njia ya uzinifu, ndo uone...
6 Reactions
142 Replies
1K Views
Watu wa Tarime Najua mnaufahamu kamji ka nyamongo, na haswa watu wa kule walivyo na sifa sana Sio Katoro tena, ni Nyamongo
2 Reactions
16 Replies
254 Views
Kwema? Aisee kuna mwanamke unaweza kuwa nae kimahusiano na mambo yako yakaenda vizuri sana mpka ukashanga natolea mfano mdogo huyu wa kwangu. Aliniomba elfu 40,00/= nikamuambia sina hela niko...
28 Reactions
85 Replies
6K Views
Back
Top Bottom