Ukianza kumtongoza Mwanamke na akakukubali haraka, jitathmini!

Ukianza kumtongoza Mwanamke na akakukubali haraka, jitathmini!

Baba mtakatifu91

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2026
Posts
4,235
Reaction score
8,963
Hiyo ndo principle mating demand ATP. Ukimtongoza mwanamke akakukubali haraka jua kuna kitu hakipo sawa either una kimojawapo kati ya hivi

1.Una pesa

2.Mfanyakazi

3.Kastaafu umalaya anatafuta wa kustaafia

4.Anataka ndoa ili amiliki mali ulizo nazo wale pamoja na watoto wake ili wewe upigwe chini

5.Amekuona una akili ndogo

My bro huyo hajafuata upendo wako
 
Hiyo ndo principle mating demand ATP. Ukimtongoza mwanamke akakukubali haraka jua kuna kitu hakipo sawa either una kimojawapo kati ya hivi

1.Una pesa

2.Mfanyakazi

3.Kastaafu umalaya anatafuta wa kustaafia

4.Anataka ndoa ili amiliki mali ulizo nazo wale pamoja na watoto wake ili wewe upigwe chini

5.Amekuona una akili ndogo

My bro huyo hajafuata upendo wako

Kwani sisi wanaume tukiwa tunatongoza huwa tunataka tupewe majibu baada ya muda gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom