Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ndugu wana JF wenzangu kunajambo linanisumbua sana kwa muda mrefu,kuna hiki kitu kinachoitwa kuchezeana kwenye mapenzi,ni muda mrefu nimekuwanikisikia wanawake wengi wakilalamika kuwa hivi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Niko kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa kama miaka 3 hivi na tunategemea kufunga Dec kama mambo yatakuwa salama. Siku za hapa karibuni nimehisi Mr wangu anatabia za kishoga. Ana rafiki yake wa...
0 Reactions
82 Replies
12K Views
Vp Jamani, huyu mwaJF anayetembea kwa jina la Sinkala alishajipatia jiko? Maana tulitangaziwa humu jamvini juu ya harusi yake kwamba ingekuwa August hii... au alikatishwa tamaa na vitisho vya...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
jamani nisaidieni, mimi ni mdada mwenye miaka ishirini na nne ambaye nina mahusiano na mkaka mmoja kwa miaka sasa ni miwili hivi. tatizo langu ni kwamba huyo kaka alikuwa na mke na akanambia ana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kabla ya kukiri “Hadi kifo kitakapotutengenisha” au hata kabla ya kukubali kuvishwa pete ya engagement kuna maswali muhimu sana (hard questions) ambayo unahitaji kujiuliza na kwa njia hiyo unaweza...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Ni sahihi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika utafiti wangu inaonyesha wanyama wengi wanatoa harufu fulani kuvutia wapenzi. Nilikuwa najiuliza ni kitu gani binadamu wa mwanzo walikuwa wanatumia katika kuvutia mapenzi. Baada ya...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Friday, September 11, 2009 4:24 AM Jamaa mmoja wa nchini Marekani ili kukwepa manyanyaso na masimango ya mke wake aliamua kuiteka benki na kuwasubiria polisi waje...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
To love, honour and obey in Mali BBC News Online By Martin Vogl BBC News, Bamako A new family law in Mali is causing a furore, partly because it no longer stipulates that wives have...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamii mimi leo nimeona niwapatie zawadi ya wikiendi wale walio katika unyumba.Japo zawadi yenyewe kiduchu lakini nafikiri itawafaa. kuna tatizo katika jamii za wana ndoa au hata wale walio...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Jinsi ya kuzuia kuzozana kusichafue (contaminate) ndoa yako Kuzozana mara kwa mara katika ndoa huweza kusababisha contamination ya mahusiano hasa ndoa. Kama wewe na mwenzi wako mmejikuta mara kwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Now that kuna kusingiziana sana kwamba mtu kabakwa, inapendekezwa contract hii, isainiwe kabla ya watu kufanya tendo la ‘ndoa’! CONSENT FORM SIGNED BEFORE SEXUAL INTERCOURSE This certifies that...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
karibu kila neno tunalotumia siku hizi linamaanisha pia sex wakati mwingine huwa najiuliza kwa nini?????? au labda jamii inawaza sana sex?????? kula.........analiwa,anamla...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Couples should consider sleeping apart for the good of their health, an expert has said. Expert advocates sleeping apart Getting a decent night's sleep is more important than cosying up...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Friday, September 04, 2009 Ni mwanafunzi mmoja tu wa kike katika shule moja ya sekondari nchini Kenya amebaki darasani baada ya wanafunzi wenzake wote 24 wasichana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Umekuwa na ugomvi wa muda mrefu na Demu wako ( Mchumba) ambao hata ukijaribu kusuruhisha lakini huoni dalili ya mtu kurudi kwenye mood yake ya zamani, so siku 1 mzee uko ofisini unapokea sms...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Seriously, unapokuwa kwenye umri fulani unakuwa unatamani kujaribu zali mbalimbali. Katika wish list yangu walikuwemo: -Sista wa Roman katoliki -Kiwete -Polisi -Mlevi wa mbege -Mbunge -Mhindi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nimepata hiki kisa nikasema ngoja tuone baadhi ya wanafamilia wanavyodanganyana!!!! Mambo ya simu za mkononi: Utafanyaninikamaumeitwakusawazisha ? One Friday morning, John woke up hurriedly...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mi nadhani imefika wakati sasa na mabinti kuwavisha watarajiwa wao pete za uchumba kama wao wavishwavyo. Hii pia itasaidia kumwepusha mchumba mume na mabinti. Tumeona kichen pati za kiume...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Mkazi wa Vingunguti Sokoine Mtunda, ameuawa na wananchi wenye hasira kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, Faustine Shilogile, amesema tukio hilo...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Back
Top Bottom