Kulala vizuri ni kuwa sexy!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
Kulala vizuri ni kuwa sexy!



Pumzika
Wanawake ambao hujimyima usingizi hawapo sexy, hivyo kabla ya kufikiria kuwa na maisha mazuri ya kimapenzi na mke wako au mume wako zingatia kwanza kuwa na muda mzuri wa kupumzika.

Mwanamke asiyelala huwa mchovu hivyo kushindwa kujishughulisha vizuri na suala la tendo la ndoa kwani mwili wake huwa mchovu na zaidi ya yote kukosa usingizi husababisha kutokuwa na furaha.

Hakikisha mke wako au mume wako anapata usingizi wa kutosha ili kupumzisha mwili vizuri kwa faida ya ndoa yenu.

Kumbuka usiporidhika kimapenzi (tendo la ndoa) utajisikia ndoa hairidhishi na usiporidhika na ndoa yako ni mwanzo wa kuanza matatizo ya ndoa yako.

Usichimbe shimo ambalo ukiingia kutoka huwezi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom