October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 92
Msaada kwenye tuta.
Jana Lunch time nilikua naongea na dada mmoja mfanya kazi mwenzangu ofisini ambae alinieleza kuwa anashangazwa sana na tabia ya wanaume ya ku-cheat katika relationship.
Alisema kua inashangaza na kuchanganya sana kwa mwanamke anapogundua kua mtu wake aliempenda kwa dhati ana-cheat hasa ikizingatiwa kwamba wanawake wengi huwa very serious na kutumia nguvu na juhudi nyingi sana kuhakikisha uhusiano unadumu. Kibaya ni kwamba pamoja na juhudi hizi zote baadhi ya wanaume (sio wote) huwa hawathamini juhudi hizi na huamua kutoka nje.
Aliniuliza swali ambalo ninalileta hapa ambalo naamini litakua msaada kwa wengi. Ni kitu gani humfanya mwanaume kuwa mwaminifu katika uhusiano/ndoa?
Jana Lunch time nilikua naongea na dada mmoja mfanya kazi mwenzangu ofisini ambae alinieleza kuwa anashangazwa sana na tabia ya wanaume ya ku-cheat katika relationship.
Alisema kua inashangaza na kuchanganya sana kwa mwanamke anapogundua kua mtu wake aliempenda kwa dhati ana-cheat hasa ikizingatiwa kwamba wanawake wengi huwa very serious na kutumia nguvu na juhudi nyingi sana kuhakikisha uhusiano unadumu. Kibaya ni kwamba pamoja na juhudi hizi zote baadhi ya wanaume (sio wote) huwa hawathamini juhudi hizi na huamua kutoka nje.
Aliniuliza swali ambalo ninalileta hapa ambalo naamini litakua msaada kwa wengi. Ni kitu gani humfanya mwanaume kuwa mwaminifu katika uhusiano/ndoa?