Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna jamaangu alipata kusema kwamba "Ndugu yangu ukimwonyesha mkeo `Salary Slip` umekwisha!, maana atazua matumizi yasiyo ya lazima, hadi ahakikishe fedha zote zimeisha"! Lakini pia, kwa...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Ipo rangi niipendavyo Napenda nimuanavyo Akishatinga kihivyo, Nashindwa kuwa mchoyo! Sipendi kwangu mwenyewe Ila yeye aivae Nikimwona atambue Naipenda aelewe! Ipo rangi upendayo Rangi ya...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Comedians are known for drawing inspiration from their personal lives. But in the case of Sherri Shepherd, her ex husband Jeff Tarpley is asking her to stop using their divorce as public fodder...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair) Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni...
0 Reactions
325 Replies
22K Views
jamani habari za siku, mie mtanzania mwenzenu nina masaibu ya mahusiano yaliyonifika na ambayo kwa namna moja ama nyingine nimeona ni vizuri niyaweke hapa ili mradi nipate mawaidha yatakayoupoza...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
this is the ultimate anti-infidelity key! ehehehe
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimeona tujadili hili swala hapa sijui kama limewaijadiliwa kuna tabia imezuka tena kwa kasi sana wanawake kuvaa pete za ndoa wengine za uchumba wengine zote mbili na ukweli awajaolewa wala awana...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Djimon Honsou mwishoni mwa mwaka jana aliwaliza wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa mabadiriko ya hali hewa huko Copenhagen katika hotuba yake juu ya mabadiriko ya hali hewa na hatari iliyopo juu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kila tarehe 10 march huadhimisha siku ya watoto wa mitaani kwani miaka kadhaa iliyopita tarehe na mwezi kama huo aliingia rasmi mitaani kama mtoto aishiye kwenye mazingira magumu hadi miujiza...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Jamani wadau nisaidieni, kuna mtu alikutana na mdogo wangu akampenda sana, akamfwatilia bila mafanikio, then akakutana na mimi akachanganyikiwa zaidi na mimi nikasema no sasa karudi kwa mdogowangu...
0 Reactions
83 Replies
9K Views
Wakati mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja nchini China alipoweka tangazo kwenye ubao wa shule kuwa anatafuta mpenzi, alitarajia wanaume wawili watatu wangejitokeza lakini kwa mshangao wake maelfu ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mahaba kwa mpenzi wangu yanapungua.... Utendaji kazi wangu umeathirika.. Naumia macho kwa kuspend muda mrefu kwenye monitor, Nakuwa kama chizi kucheka na monitor.. Nalala late... Nachelewa...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Nisaidieni jamani nawatafuta my best friends JOHN CHAMGENI, HUBILA MASUNGA, GOZBERT CHAMGENI na KASIAN CHAMGENI.nitumie njia gani?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo nasoma gazeti fulani, nikashangaa kuona kichwa cha habari: NDOA SI UPENDO! Nimeshangaa sana... Je wanaJF, NI KWELI NDOA SI UPENDO?
0 Reactions
20 Replies
5K Views
.............well! it sounds like YES to my mind!NYUMBA NDOGOOZ ARE HERE TO STAY!karibu kila mwanaume mwenye ndoa yake lazima awe na ''kazi-ya-nje''. hata kama ni vipi,au hana ATAHAHA...
0 Reactions
326 Replies
22K Views
Size Does Matter In Switzerland There is controversy in Switzerland over a new brand of extra small condoms that has gone on sale for boys as young as 12. Called the Hot Shot, the condoms were...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za kazi wana JF. Naomba tusaidiane kumshauri huyu dada yetu. Kuna dada nafahamiana naye vizuri yupo Dar na ana mtoto mmoja alizaa na bwana miaka kumi iliyopita. sasa nanasema amepata...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
1.Mwanamke unapokutana na mwanamme na majibu yako yakawa hivi mme--- Sister hujambo?.......majibu..sijajxxxxxba nikijxxxba nitakuambia unaelekea wapi mrembo?......majibu....ukubwani...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kuna mwanamke nampemda sana. Kila nionanapo nae uume umekuwa ukinisimama ile mbaya hadi nashindwa kuficha aibu zangu. Matokeo yake ni kwamba nashindwa kuongea naye.. Nabaki nimeinama ili kuficha...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Back
Top Bottom