Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Habari za kazi wana JF. Naomba tusaidiane kumshauri huyu dada yetu.
Kuna dada nafahamiana naye vizuri yupo Dar na ana mtoto mmoja alizaa na bwana miaka kumi iliyopita. sasa nanasema amepata bwana wa kikongo ambaye amehamia kwake na wanaishi pamoja ila huyo bwana kipato chake kidogo na yeye dada mambo yake siyo mabaya kwakweli. Ila kwa ufupi huyo bwana alikuwa na watoto watatu huko kwao sasa anataka awalete watoto wake hapo kwa huyo dada. Wasiwasi wa dada ni je huyu jamaa anampenda kweli au anataka kumletetee mizigo tu kwani jamaa hajawa stable na maisha yake bado.
Kuna dada nafahamiana naye vizuri yupo Dar na ana mtoto mmoja alizaa na bwana miaka kumi iliyopita. sasa nanasema amepata bwana wa kikongo ambaye amehamia kwake na wanaishi pamoja ila huyo bwana kipato chake kidogo na yeye dada mambo yake siyo mabaya kwakweli. Ila kwa ufupi huyo bwana alikuwa na watoto watatu huko kwao sasa anataka awalete watoto wake hapo kwa huyo dada. Wasiwasi wa dada ni je huyu jamaa anampenda kweli au anataka kumletetee mizigo tu kwani jamaa hajawa stable na maisha yake bado.