BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 573
jamani habari za siku, mie mtanzania mwenzenu nina masaibu ya mahusiano yaliyonifika na ambayo kwa namna moja ama nyingine nimeona ni vizuri niyaweke hapa ili mradi nipate mawaidha yatakayoupoza moyo wangu.....!
kuna binti nimekaa nae katika mahusiano kwa muda wa miaka miwili na miezi kadhaa sasa. binti huyu tulianza mahusiano kama mzaha na mwisho wake tukashibana hasaa..! kabla mie sijaanza nae mahusiano alikuwa katika mahusiano na jamaa mmoja ambaye anadahi kwamba jamaa huyo alikuwa ni mlevi kupindukia na eti maumbile ya huyo jamaa yalimshinda sana hivyo basi akaadhamia kuachana nae na kuja kwangu.
mwanzoni mie nilikuwa sipo yatari kuwa nae katika sehemu ya maisha yangu kwani nakumbuka niliwahi kusitisha mahusiano na yeye kama mara 3 hivi katika vipindi tofauti tofauti lakini binti huyu alikuwa na moyo wa ajabu aliendelea kuwa positive kwangu hata ikanibidi nitafakari hatua yangu mpya katika maamuzi niliyoyachukua na siku moja akanisihi turudiane + takafakari zangu na wema aliokuwa akinionesha sikuona vyema kumchukua kama mpenzi wangu kwa ajili ya maisha.
Safari ya maisha ya mahusiano yaliyoshiba ikaanza huku mie nikiwa nimemuahidi kutomwacha tena...! kusema kweli mahusiano yalikuwa mazuri sana kwani nilweza kumjua vizuri huyu binti, ni mpole , mnyenyekevu na mwenye msaada mkubwa sana wa kimawazo na material pia.
lakini bahati mbaya ilikuwa kwangu kwani sie mahusiano yetu yalianzia chuoni then tulipoingia mtaani tukaanza mahusiano serious huku tukipena ahadi kadhaaa ikiwemo ya kuwa kitu kimoja(ndoa).
kwa bahati mbaya ndugu zangu mie nilipopata kazi nilijikuta ni kichwa cha treni ambacho ni lazima kilitakiwa kivute mabehewa mengine....!
nilijikuta nimezungukwa na wadogo zangu ambao kutokana na hali ngumu ya uchumi nyumbani kwetu ilibidi nitoe msaada japokuwa nilikuwa napata kipato kidogo sanaaa...
kutokana na hali hiyo ya kutoa msaada kwa ndugu zangu nilikuwa nikiishiwa pesa yangu nyingi na hivyo kushindwa kuweka hakiba hata kidogo hivyo kabla mwisho w mwezi haujafika mie tayari nakuwa sina pesa mfukoni....!
so, binti huyu ndiye aliyekuwa karibu yangu na nilimpa kila taarifa ya hesabu yangu niliyokuwa natumia kwangu na ndugu zangu.
hivo basi kimbilio langu lilikuwa kwake, nilikuwa namuoba pesa kidogo nasongesha maisha na wakati mwingine ananikopa then narudisha. lakini kadri siku zilivyosonga hali yangu kiuchumi ilizidi kubana mpaka sasa naongea hali nii tait sanaaa...!
sikujua kama hali hii ilimsononesha sana mwenzangu moyoni mie nilitambua kitu kimoja tu 'pendo la dhati..!
jitihada nyingi nimezifanya ili kuongeza kipato lakini mtu mzima situation imegoma.....!
Sasa siku za hivi karibuni hali ilianza kubadilika, mwenzangu alikuwa hanitumii tena msgs za kunitakia siku njema kama ilivyokuwa awali, ( Good mornig dear...nice day, Good Afternoon sweet have a nice lunch, Gud evening dear, jioni hii utakula nini..? gud 9t nice dreams n.k) zote zilitoweka ghafla...!
nikijaribu kuumuliza kwa sms i didn't get positive reactions, so nikamwomba appointment tuonane...! akawa so bussy na kazi yake and i said ok fine.
So one day alikuwa ananidai kiasi cha sh, laki moja akiomba nimrejeshee nikamwita shemu fulani maeneo ya ATM moja ili nitoe fedha benki nimpatia, alipokuja hakuwa na mwonekano wa kunifurahia uso kaunja na kama aliyekuwa anakwepa kunitazama machoni....!
nikampa pesa na kumwambia kuwa mbona kanibadilikia hivyo , akanijibu kwa kuniambia kuwa atanitafuta aniambie ukweli.....! aliposema hivyo nikamwacha aende zake..nami nikabaki nimesimama lakini kabla hajafika mbali nilmfuata na kumsihi aniambie pale pale kama huu ndio mwisho wa penzi ama lah...! akasema hawezi kuzungumza pale...ok nikamwacha aondoke zake...!
wiki ikasonga na mawazo mengi sanaaaa....then baadae akanitumia sms kunitaarifu kuwa meeting yetu itakuwa jumamosi but then the next day akasema hatutoweza kuonana nae jumamosi kwani anavikao katika hekalu analoabudu ambako huku ni kiongozi..
nikamsihi akakataaa...! therefore ikanibidi nlazimishe nikamwambia nitakwenda kwao jioni ya siku ya jumamosi tarehe 13/03....akanisihi sana nisiende lakini nikalazimisha snaa, nikamwambia nitakwenda nitamsubiri hata pale atakapomaliza kikao chake ili anipe hatma ya mahusiano yetu.
alinipigia simu mara 2 akiniomba nisiende home, lakini mie ilipofika jioni nilienda maeneo jirani na home kwao nikamsubiri hata ilipofika saa 2 usiku akawa maeshindwa kutoka kwao ikabidi nisogee maeneo ya karibu na kwao.....
thanks God akaja tukaanza kuongea nikamuuliza mbona hivyo mwenzangu umebadilika sanaaaa....hakutaka kuniambia mwanzoni lakini baadae ikabidi aseme na aliniambia maneno haya........KUSEMA KWELI ....(anataja jina langu)...MIE SIKU HIZI MAPENZI YANGU KWAKO YAMEPUNGUA SANA'
Kisha akataja sababu zifuatazo kama chanzo cha mapenzi kupungua
lakini ukweli ni kwamba nampenda sanaaa, pili ndugu na jamaa ambao tayari walikuwa wanamfahamu hawatanielewa mie kwani walikuwa wanamuamini sana kwa tabia yake nzuri...
Je, nifanyeje..? ninao ushahidi wa mazungumzo yangu na yake ambayo wakati tunaongea nilikuwa narekodi lakini yeye alikuwa hafahamu kama nafanya hivyo itakapo bidi nitayaweka hapa japokuwa yanasikika kwa mbali kutoka na sababu kuwa eneo tulilokuwepo kulikuwa na genereta mabayo ilikuwa ikinguruma sanaaaa....
endapo itabidi nitaipost hiyo saund clip hapa siku ya kesho... tafadhalini nishaurini nifanyeje binti huyu nampenda...sana
kuna binti nimekaa nae katika mahusiano kwa muda wa miaka miwili na miezi kadhaa sasa. binti huyu tulianza mahusiano kama mzaha na mwisho wake tukashibana hasaa..! kabla mie sijaanza nae mahusiano alikuwa katika mahusiano na jamaa mmoja ambaye anadahi kwamba jamaa huyo alikuwa ni mlevi kupindukia na eti maumbile ya huyo jamaa yalimshinda sana hivyo basi akaadhamia kuachana nae na kuja kwangu.
mwanzoni mie nilikuwa sipo yatari kuwa nae katika sehemu ya maisha yangu kwani nakumbuka niliwahi kusitisha mahusiano na yeye kama mara 3 hivi katika vipindi tofauti tofauti lakini binti huyu alikuwa na moyo wa ajabu aliendelea kuwa positive kwangu hata ikanibidi nitafakari hatua yangu mpya katika maamuzi niliyoyachukua na siku moja akanisihi turudiane + takafakari zangu na wema aliokuwa akinionesha sikuona vyema kumchukua kama mpenzi wangu kwa ajili ya maisha.
Safari ya maisha ya mahusiano yaliyoshiba ikaanza huku mie nikiwa nimemuahidi kutomwacha tena...! kusema kweli mahusiano yalikuwa mazuri sana kwani nilweza kumjua vizuri huyu binti, ni mpole , mnyenyekevu na mwenye msaada mkubwa sana wa kimawazo na material pia.
lakini bahati mbaya ilikuwa kwangu kwani sie mahusiano yetu yalianzia chuoni then tulipoingia mtaani tukaanza mahusiano serious huku tukipena ahadi kadhaaa ikiwemo ya kuwa kitu kimoja(ndoa).
kwa bahati mbaya ndugu zangu mie nilipopata kazi nilijikuta ni kichwa cha treni ambacho ni lazima kilitakiwa kivute mabehewa mengine....!
nilijikuta nimezungukwa na wadogo zangu ambao kutokana na hali ngumu ya uchumi nyumbani kwetu ilibidi nitoe msaada japokuwa nilikuwa napata kipato kidogo sanaaa...
kutokana na hali hiyo ya kutoa msaada kwa ndugu zangu nilikuwa nikiishiwa pesa yangu nyingi na hivyo kushindwa kuweka hakiba hata kidogo hivyo kabla mwisho w mwezi haujafika mie tayari nakuwa sina pesa mfukoni....!
so, binti huyu ndiye aliyekuwa karibu yangu na nilimpa kila taarifa ya hesabu yangu niliyokuwa natumia kwangu na ndugu zangu.
hivo basi kimbilio langu lilikuwa kwake, nilikuwa namuoba pesa kidogo nasongesha maisha na wakati mwingine ananikopa then narudisha. lakini kadri siku zilivyosonga hali yangu kiuchumi ilizidi kubana mpaka sasa naongea hali nii tait sanaaa...!
sikujua kama hali hii ilimsononesha sana mwenzangu moyoni mie nilitambua kitu kimoja tu 'pendo la dhati..!
jitihada nyingi nimezifanya ili kuongeza kipato lakini mtu mzima situation imegoma.....!
Sasa siku za hivi karibuni hali ilianza kubadilika, mwenzangu alikuwa hanitumii tena msgs za kunitakia siku njema kama ilivyokuwa awali, ( Good mornig dear...nice day, Good Afternoon sweet have a nice lunch, Gud evening dear, jioni hii utakula nini..? gud 9t nice dreams n.k) zote zilitoweka ghafla...!
nikijaribu kuumuliza kwa sms i didn't get positive reactions, so nikamwomba appointment tuonane...! akawa so bussy na kazi yake and i said ok fine.
So one day alikuwa ananidai kiasi cha sh, laki moja akiomba nimrejeshee nikamwita shemu fulani maeneo ya ATM moja ili nitoe fedha benki nimpatia, alipokuja hakuwa na mwonekano wa kunifurahia uso kaunja na kama aliyekuwa anakwepa kunitazama machoni....!
nikampa pesa na kumwambia kuwa mbona kanibadilikia hivyo , akanijibu kwa kuniambia kuwa atanitafuta aniambie ukweli.....! aliposema hivyo nikamwacha aende zake..nami nikabaki nimesimama lakini kabla hajafika mbali nilmfuata na kumsihi aniambie pale pale kama huu ndio mwisho wa penzi ama lah...! akasema hawezi kuzungumza pale...ok nikamwacha aondoke zake...!
wiki ikasonga na mawazo mengi sanaaaa....then baadae akanitumia sms kunitaarifu kuwa meeting yetu itakuwa jumamosi but then the next day akasema hatutoweza kuonana nae jumamosi kwani anavikao katika hekalu analoabudu ambako huku ni kiongozi..
nikamsihi akakataaa...! therefore ikanibidi nlazimishe nikamwambia nitakwenda kwao jioni ya siku ya jumamosi tarehe 13/03....akanisihi sana nisiende lakini nikalazimisha snaa, nikamwambia nitakwenda nitamsubiri hata pale atakapomaliza kikao chake ili anipe hatma ya mahusiano yetu.
alinipigia simu mara 2 akiniomba nisiende home, lakini mie ilipofika jioni nilienda maeneo jirani na home kwao nikamsubiri hata ilipofika saa 2 usiku akawa maeshindwa kutoka kwao ikabidi nisogee maeneo ya karibu na kwao.....
thanks God akaja tukaanza kuongea nikamuuliza mbona hivyo mwenzangu umebadilika sanaaaa....hakutaka kuniambia mwanzoni lakini baadae ikabidi aseme na aliniambia maneno haya........KUSEMA KWELI ....(anataja jina langu)...MIE SIKU HIZI MAPENZI YANGU KWAKO YAMEPUNGUA SANA'
Kisha akataja sababu zifuatazo kama chanzo cha mapenzi kupungua
- Lifestlye yangu si nzuri ( ..yaani kila nipatapo kipato changu pesa yote uigawa kwa ndugu na kusahau kuwa mie mwenyewe nahitaji kuishi..)
- Dini.....( mie na yeye tu dini tofauti)
- frastuation life toka katika familia yake( kuna migogoro ambayo hakuitaja)
- niliumia kwa sasbabu kuishiwa kipato sikufanya kusudi siku zote kwani hao wadogo zangu naowapatia nawashuhudi mbele yenu kuwa walichangia kunisome elimu yangu ya kidato cha tano na sita na baadae chuo. sasa wao wanasoma je niwatose....! kwangu si uungwana kabisa ndio maana nilikuwa natoa kila nilichonacho kwa ajili ya wema walinionifanyia
- Dini zetu kweli ni tofauti lakini mapenzi yangu ya dhati yamenifanya nisione dini kama kikwazo cha mie kuwa nayeye.....kwani nashuhudia kuwa baba na mama yangu leo hii wana maiaka 33 ndani ya nyumba wakiwa na dini tofauti kabisa, then my father katugeia uhuru wa kuchagua dini tunayoitaka na tunamwabudu mungu katika misingi ya sheria zake...!
- kuhusu familia yake siwezi sema lolote kwani sijui kinachoendelea huko......
lakini ukweli ni kwamba nampenda sanaaa, pili ndugu na jamaa ambao tayari walikuwa wanamfahamu hawatanielewa mie kwani walikuwa wanamuamini sana kwa tabia yake nzuri...
Je, nifanyeje..? ninao ushahidi wa mazungumzo yangu na yake ambayo wakati tunaongea nilikuwa narekodi lakini yeye alikuwa hafahamu kama nafanya hivyo itakapo bidi nitayaweka hapa japokuwa yanasikika kwa mbali kutoka na sababu kuwa eneo tulilokuwepo kulikuwa na genereta mabayo ilikuwa ikinguruma sanaaaa....
endapo itabidi nitaipost hiyo saund clip hapa siku ya kesho... tafadhalini nishaurini nifanyeje binti huyu nampenda...sana