Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ndugu zangu, wapwa, mabinamu, invizibo, mwalimu,wana MMU na wana JF kwa ujumla, mabibi na mabwana. Kama mnavyojua ndugu zangu na watani zangu ndio hivyo wako katika siku za mwisho mwisho za mwezi...
0 Reactions
161 Replies
12K Views
Katika utafiti uliofanywa na akina Kruger na wenzake kwa wanyama jamii ya Sokwe, ilibainika kwamba kulikuwa na vifo vingi vya Sokwe madume wenye umri wa miaka 13. Hali hii ilitokana na sababu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kisa kilianza zaidi ya miaka 10 iliyopita, wawili hawa walikuwa wapenzi wakazaa mtoto lakini kutokana na 'external forces' hawakuoana. maisha yakaendelea kila mmoja akashika njia yake na sasa kila...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
nina mtoto mmoja, baba'ke naishi nae bt we are not married. Tatizo ana tabia ya uongo sana yaan ameni cheat mara kibao hadi nimepoteza uaminifu kwake. my ex boyfriend anataka tufunge ndoa and i...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mlioko kwenye ndoa naomba mnijibie swali hili, maaana huwezi jua ukali wa posi kama hupigi pasi. Inshort natarajia kujiunga na taasisi yenu soon.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwanza nikuombeni radhi nyote ambao mlikuwa mmeandika michango yenu na ikazimika ghafla. Ni kutokana na matatizo ya kiutendaji. Forum hii inahitaji mod mwenye busara kubwa kuwahudumia wanachama...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Jaman wana jf nina tatizo moja kwamba kila msichana ninayeanzisha naye mahusiano ya kimapenz huwa hajatulia na mpaka sasa nina miaka 23 nahitaji mchumba wa kufumga naye ndoa je nifanyeje?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Je, umeshawahi kusikia mtu anashitakiwa kwa kuzini na mke wake wa ndoa? Ni swali la kuchekesha kidogo, lakini ukweli ni kwamba, jambo hilo, limeshawahi kutokea.Wapi na kwa nani? Ilikuwa kwenye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
wana jf,haka kamchezo sio kazuri leo nimepewa kisa na mshikaji wangu hapa nilipopanga mshikaji kamtokea demu hapa jirani kitambo kabla mie sijahamia na akafanikiwa kuwa na huyo demu ila baadaye...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Natamani tu-share na wewe mwanajamvi, Una-deal aje na mtu mwenye "bad moods"? Tupeane xperience! As tunavyojua kuwa mtu akiwa kwenye "bad mood" Ni anaweza kukukwaza, ni anaboa wakati mwingine...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
hey ladies... there is something that i fail to comprehend. most ladies claim to know that most guys just want sex but yet wen a guy is upfront abt wanting to have sex with u, you take offense to...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Licha ya kwamba watanzania wana matatizo mengi hasa ya kiuchumi na kisiasa bado tatizo la mapenzi, mahusiano na urafiki ni changamoto yao ya kila siku. Utashangaa nikikwambia kuwa MMU (Mapenzi...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Nipo katka mahusiano ya kwel,kwan katka miaka3 sijawah kumsalit nimpendae,cha kushangaza wivu umepitiliza,nisimtumie rafiki au mfanyakaz mwenzang mesej nikimwambia mic u.ugomv,akiniona napga stor...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
..Habari ndio hiyo, Wanawake sasa wataweza kukojoa wakiwa wamesimama kama Wanaume baada ya Ugunduzi wa kifaa hiki. Duh hizi haki sawa sasa zinapitilizasource: JD Blog
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Wapendwa MMU, Salaam kwenu wote in the name of love. Wadau, kuna kijana mwenzetu mmoja amekumbwa na mkasa mzito saana. Miaka kama 2 imepita, akiwa kwenye daladala aliachiwa mtoto na mwanamke...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Mine are: 1. My daughter - she's my #1 fan, my pride and joy, my flesh and blood, my everything. 2. My parents - what can I say...If it wasn't for them I wouldn't be who I am today 3. Water -...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Me ni kijana wa miaka 27, naishi mikocheni A, Nipo Bachelor mwaka wa pili ..<br /> Nahitaji rafiki wa kike awe muelewa umri kuanzia miaka 20 na kuendelea, awe mchangamfu, ..<br /> Aliyetayari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dah natamani huyu mwanamke angejua kwamba after all those years she is still the only woman i ever think and dream damn!
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Asallam aleikum wanajf. Jamani kuna shemeji yng alimpa msichana mimba na kumkatisha masomo na kuamua kuish naye tn bila kuwajulisha wazazi na ndugu zk. Wazaz wa mume walipogundgua wakamshaur...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom