Nimebaki dilema kwa huyu dada,amekuwa just a friend since nilipom-approach 2009. Aliniambia yuko single na hayuko tayari kwa mahusiano wakati huo. Kipind chote ninachoendelea kusubiri anasema yuko single na hayuko tayari kuwa na mimi hata nikimsubiri mpaka atakapokuwa tayari. Tatizo co kumsubiri au kutomsubiri tatizo ni kumtoa kwenye akili yangu kwani amenata kiasi ambacho hata mi cjielewi nahis kanitia uchiz. Siku hizi amekuwa hataki kujibu hata msg. Nimemtongoza mpaka maneno yameisha cjui nifanyeje,wanawake wako wengi lakini mapenzi yako kwake tu,kwingine nafuata tamaa lakini huwa najihisi hatia kubwa kiasi cha kutaka kumwomba msamaha. Mara ya mwisho kanambia hana hisia na mimi hisia ndo zinazidi nifanyeje ?