Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

habari yako? Tatizo lenu wasichana mukishaona hela mipango inazidi matumizi.eti "unakumbuka uliniahidi kuninunulia kitu fulani?"kisa kaona leo mfukoni una hela.nyie mkishaona hela ndo kila tatizo...
5 Reactions
63 Replies
5K Views
Kuna Dada ambaye yupo kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka miwilii sasa, walibahatika na mumewe kupata mtoto wao kwanza kama baada ya mwaka mmoja wa ndoa ingawa huyu Dada alipata complications nyingi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana jf naomba kujua kama kuna ukweli kwamba unapotaka kuoa unatakiwa kuwa makini kuna makabila yana utata wake pindi utakapoungana nao je nikweli? Ni makabila gani hayo? Na utata wao ni upi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Awe mrefu wastani, elimu kuanzia form six, age asiwe zaidi ya 24years, rangi yoyote, asiwe mnene, awe mcha Mungu. Mwenye sifa hizi aniPM tafadhali au anicheck kwa email lushe2010@yahoo.com Asanteni
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Msichana mrembo anaejiamin na intellectual aged between 18 up 23 nakuhitaji tufanye maisha(serious relationship) na kuoana later im 24 npo college..just Pm me,.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi, Mommy. ... ...I'm your baby. You don't know me yet, I'm only a few weeks old. You're going to find out about me soon, though, I promise. Let me tell you some things about me. My name is...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ya mchana huu wanajamvi,, Ni miezi sita sasa tangu tuachane mimi na yy kwa madai kwamba ndugu zake hawajaridhika awe na mimi maishani ...cha ajabu ni mwezi sasa tangu aanze kunifata na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii sms jana mke wa ndugu yangu kaibamba kwenye simu ya mumewe ambaye alisevu jina la mtuma meseji kuwa anaitwa ' Mose fundi bomba': 'Mpenzi leo nimepita madukani Kariakoo.Bei ya vifaa ni hizi...
1 Reactions
112 Replies
13K Views
Hivi ninavyofungua huu uzi kuna kijana jirani yangu yamemkuta. Yeye ni mmoja wa wale wanaoitwa 'watoto wa nje' (neno hili silipendi kabisa,kwangu mtoto ni mtoto tu). Mzee wake amefariki hakuacha...
6 Reactions
65 Replies
6K Views
Uzae mtoto wa kike msagaji au wa kiume shoga?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa sababu yoyote ile, iwe ni kwa kuteleza au kwa uchakaramu wako, lakini mwenzako amegundua au ana wasiwasi nawe kuwa si mwaminifu katika mahusiano na akaamua kukuuliza kutaka ukweli. Jee...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni akina nani wanaowashawishi au kuwabembeleza wenzao kuoa kati ya wanaume na wanawake? Ni swali rahisi sana kulijibu, kwani karibu kila mtu anajua jibu lake, labda anachoweza kushindwa kukijua ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi mashoga wanapo asili (adopt) mtoto tutarajie nini kutoka kwa mtoto huyo atakapo kuwa mtu mzima?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Hizo kucha zenu ndefuuu kwenye mikono yenu haziwazuii kweli kufanya kazi au ndiyo tutaishia kula Burger badala ya ugali kwa bamia? Nguo zinafulika kweli au ndiyo kazi za House Girl? Maana girl...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
a Katika mahusiano ni jambo ambalo linawezekana kwa mwanamke au mwanamume kumbadilisha mwenza wake kutoka tabia mbaya kwenda nzuri lakini ni muhimu kuzingatia yafuatayo, unapotaka kufanya...
9 Reactions
108 Replies
17K Views
kwakweli mimi huwa nikiwaza swala zima la ndoa huwa nadata kabisaaaa coz hawa wanaume macho juu juu sana na mimi nina wivu hatari kwakweli naona nikiolewa nitaozea lupango.sitaki mtu acheze na...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Kuna baadhi ya wanaume hufika menopozi wakiwa na miaka 40 na kuendelea. Lakini kuna vibabu vina zaidi ya miaka 80 zinaoa na vinazaa. Je na mimi nifanye kipi ili niendelee kufaidi tunda hadi uzeeni?
0 Reactions
17 Replies
4K Views
kuna haka karesearch nimekaona mahali eti wanaume wenye ndoa katika katika10 -8 wanatoka/wanatamani wanawake wa nje wanawake ambao hawajaolewa asilimia 90 wanatamani kuolewa wanawake...
2 Reactions
82 Replies
7K Views
Nikizoa taka za Sinza, naweza kupata zaidi ya konom zaidi ya mia tano, lakini nikizoa taka Temeke kata ya 13, nakuta kondom tatu au tano. Je Sinza ndio wazinzi sana, au Sinza ndio wanajali sana...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…