Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,704
Kila siku watu wanapendana na wengine kuachana kutokana na sababu mbalimbali...hili suala la "age mates" kupendana lina tatizo jamani?? Maana nimekuwa nikisikia watu wakili-discourage sana,kwamba mtakuwa wote na mawazo ya kitoto...kila mmoja atakuwa anajiona anajua zaidi ya mwingine. Na kwamba kuwa katika mahusiano,ambayo mwanamke kapitwa miaka kuanzia mitano ndo yenyewe....Kwa mtazamo wangu tabia ni hulka tu ya mtu kutokana na mazingira aliyokulia au yanayomzunguka...Suala la mapenzi ya "age mates" mwalionajee wana JF?