Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Habari zenu wana MMU...
Siku hazipiti hapa MMU basi itapostiwa thread ikiwa imekaa kimfumo mfumo dume hivi kitu ambacho wenye kuuchukia huwa wanawasha moto vibaya sana hapa...
Sasa kwanini mwanamke akiambiwa "we mwanamke jasiri,kauzu,ngangari kama mwanaume? Anafurahi kweli kweli...mbaya zaidi utakuta mwanamke anamtukana mwanaume "we nae mwanaume? una mambo ya kike kikee" hapa huwa sielewi kabisa akimaanisha kakutusi...
Sasa usawa uko wapi hapa? Kuwa kidume au wakike kike?
Siku hazipiti hapa MMU basi itapostiwa thread ikiwa imekaa kimfumo mfumo dume hivi kitu ambacho wenye kuuchukia huwa wanawasha moto vibaya sana hapa...
Sasa kwanini mwanamke akiambiwa "we mwanamke jasiri,kauzu,ngangari kama mwanaume? Anafurahi kweli kweli...mbaya zaidi utakuta mwanamke anamtukana mwanaume "we nae mwanaume? una mambo ya kike kikee" hapa huwa sielewi kabisa akimaanisha kakutusi...
Sasa usawa uko wapi hapa? Kuwa kidume au wakike kike?