shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Kwa muda nimekuwa nikiwachunguza wanawake/wasichana ambao wanaingia katika mahusiano/ndoa kutoka katika familia ambazo wazazi wametengana au waliwahi kutengana. Kwa wachache nilipata fursa ya kuchunguza mienendo yao ktk mahusiano nimegundua wana mtazamo tata kuhusu ndoa na kwa hili huwa chanzo cha ukosefu wa amani ktk mahusiano yao.
Kujitahidi kwao ktk maisha ni msukumo wa fikra walizonazo kuhusu nafasi zao katika ndoa na hivyo hujiandaa kuachana tangu awali. Ni kawaida kwa wanawake wa aina hii kuropoka neno zito linalohusiana na kuacha hata kwa tatizo dogo tu la kifamilia. 'usiishi kwa kumtegemea mwanaume moja kwa moja', 'nina elimu yangu, nina kazi yangu sasa nihofie nini mwanaume kuniacha' hizi ni baadhi tu ya sentensi zao za kawaida.
WANAYATOA WAPI HAYA: (tusaidiane ktk hili)
Mimi nafikiri kwa mama zao. Namna ya kwanza ni kwa kuona jinsi mama zao walivyoishi maisha ya kupambana na baba zao kiasi fighting mentality imewaingia na kuwa sehemu ya maadhimio ya maisha yao ya baadae. Lingine ni maneno wanayoambiwa na mama zao ambao wamekata tamaa ya mahusiano kwa sababu ambazo si lzm ziwe chanzo ni mwanaume. Wamama huwaambia binti zao "jitahidi usome mwanangu, uzembe huu utakuja kunyanyasika kwa mwanaume kama mimi mama yako" tangu hapa binti anaamini kuwa elimu ni ukombozi dhidi ya mwanaume
The worst state utaipata kwa mkeo ambaye wazazi wake waliachana na kurudiana mara kadhaa... Labda na wanaume tuna mtindio wetu, hilo sijalijua bado
Kujitahidi kwao ktk maisha ni msukumo wa fikra walizonazo kuhusu nafasi zao katika ndoa na hivyo hujiandaa kuachana tangu awali. Ni kawaida kwa wanawake wa aina hii kuropoka neno zito linalohusiana na kuacha hata kwa tatizo dogo tu la kifamilia. 'usiishi kwa kumtegemea mwanaume moja kwa moja', 'nina elimu yangu, nina kazi yangu sasa nihofie nini mwanaume kuniacha' hizi ni baadhi tu ya sentensi zao za kawaida.
WANAYATOA WAPI HAYA: (tusaidiane ktk hili)
Mimi nafikiri kwa mama zao. Namna ya kwanza ni kwa kuona jinsi mama zao walivyoishi maisha ya kupambana na baba zao kiasi fighting mentality imewaingia na kuwa sehemu ya maadhimio ya maisha yao ya baadae. Lingine ni maneno wanayoambiwa na mama zao ambao wamekata tamaa ya mahusiano kwa sababu ambazo si lzm ziwe chanzo ni mwanaume. Wamama huwaambia binti zao "jitahidi usome mwanangu, uzembe huu utakuja kunyanyasika kwa mwanaume kama mimi mama yako" tangu hapa binti anaamini kuwa elimu ni ukombozi dhidi ya mwanaume
The worst state utaipata kwa mkeo ambaye wazazi wake waliachana na kurudiana mara kadhaa... Labda na wanaume tuna mtindio wetu, hilo sijalijua bado