Nina miaka 25, mhandisi mwanafunzi niko mwaka wa mwisho. Natafuta mpenzi wa kike, ambaye atakua tayari kua mke baadae. Awe na umri usiozidi miaka 23, mkristo mwenye heshima zake na alie tayari...
am black in color not so short or tall but medium in height a bit tough with little obesity.Those who are interested with these criteria are mostly invited
Natarajia kudhuru South Carolina kwa siku kuu ya X-mass nitakuwepo kuanzia Ijumaa, so kama kuna member yupo pande hizo ningependa tufahamiane, maana mnapokutana wote toka sehemu moja ina leta furaha.
Tunapoelekea mwishoni mwa mwaka huu wa 2011 ni lazima tufanye tafakari ya yaliyojiri kwenye mwaka huu. Kwangu mimi kama kuna thread bomba ndani ya MMU basi ni hii iliyoanzishwa na Finest, "What...
Habari JF peoples!
Je ni lazima kumuandika mme/mke wako kwenye simu yako iwapo namba yake unaijua kwa kichwa? Yaani ukitaka kuwasiliana nae una dial tu namba zake kutoka kichwani? Kama kuna...
Utafiti wa hivi karibuni umebaini kwamba, wanawake huwazidi wanaume katika kiwango cha kujilimbikizia vijidudu vya maradhi kwenye maeneo yanayowazunguka, ikiwa ni pamoja na meza zao za kazi...
Kwa kifupi nina familia ya mke mmoja ninayempenda sana na watoto wawili. Miezi kama tisa iliyopita nilipata matatizo ya kupunguzwa kazini baada ya Ka-NGO nilikokuwa nafanyia kazi kukosa wafadhili...
naomba nisaidiwe kwa hili, ni process zipi unatakiwa kuzifuata ukitaka ku adopt mtoto Tanzania? nipo nje, nataka nirudi home ni adopt mtoto.(mtoto wa ndugu yangu)
nahitaji kujua process za mtu...
Nimekua najiuliza siku zote kwanini relationship nyingi zinavunjika eti kwa kuwa mwanaume ame have sex na mwanamke mwingine? Ndugu zetu wa kike eti wanaamini kuwa uki sex na mwanamke mwingine ni...
ANAVYOTAZAMA
Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni...
Wana Jf Nimeanza safari mpya ya urafiki na mtu mmoja hivi,na natamani tufike mbali. Naomba maombi yenu katika hili ili lengo tunalokusudia liweze kutimia,kwani nimesaumizwa sna na naamin kuwa...
Tangu nifunge ndoa na mke wangu, yeye amekuwa akisisitiza kuwa na house girl, kila anayekuja anakuwa na vituko vya jabu, na wa mwisho ambaye tumemfukuza jana alikuwa eti ana majini tukisali na...
NI siku nyingine tena tunakutana katika safu yetu bora ambayo inazungumzia mambo ya mapenzi. Inapanua uelewa na kujenga kujiamini zaidi katika uwanja wa mapenzi. Wengi wamenufaika kupitia hapa...
Habari za masiku wana-MMU?
Katika hali ya maisha ya kutafuta mpenzi nilikutana na msichana mmoja na tukakubaliana kufunga ndoa ila kinachonitatiza katika mazungumzo yetu kuna siku alidai kuwa...
Namtafuta.
sijuwi nitamuona wapi na vipi, nikiwa msichana wa miaka 16 tulikutana kariakoo ZANZIBAR kwenye viwanja vya sikukuu, siku ya pili tulikutana hapo hapo na kuelekea alikokuwa akiishi...
Jamani mi ni kijana ninamiaka 30(umri)nimebahatika kupata mchumba wa kikinga,nategemea kumuoa mwakani,katikati ya mwaka,sasa naomba mniambie tamaduni zao kuhusu mahari,huwa wanahitaji nin(mnyama...
Jamani nisaidieni wapi hapa Bongo naweza kupata hii kitu, cause kuna demu mmoja huwa mara zote nikimmega hana mzuka kabisa, mimi kila nikikukukuruka yeye huwa katulia tu tuli!
huenda nikimpa hii...
za jumapili ndugu zangu! naomba tusaidiane mawazo katika hili,ninapenda sana kukaa peke yangu ninapokuwa home, yani napenda personal space yangu,kwa sababu kazini nakutana na watu wengi, napenda...