Dear Wana MMU,
Shukrani za kipekee ziwafike kwa michango yenu ambayo binafsi, naamini imemnufaisha kila mmoja wetu si tu kwa mada ziliopostiwa hata kwa comments za wadau zenye ushauri mzuri wa...
Mvulana kamtumia msichana friend request,wanajuana tangu zamani tu,kama wanafunzi waliosoma pamoja.chakushangaza kusuggestiwa awa add kama marafiki ndugu zake yule msichana wote..kuanzia mdogo mtu...
Natafuta mchumba,awe anajiheshimu,mchangamfu asiwe mrefu sana yan awe size ya kati and any colour is ok.nipo chuo kikuu cha afya muhimbili nasoma na na tutor wa kampala university am jas 23 of age...
Umeingia kwenye Bus una safiri, safari inayochukua zaidi ya masaa 20.
Hukuwahi kukata ticket mapema, kondakta anakwambia zimebaki nafasi mbili ambapo unakuta seat ni
2 x 2 (abiria wawiliwawili)...
Nampenda na yeye ananipenda. Kinachoniumiza kuna watu wanaonifahamu wanamfeed mambo yangu ambayo hayamvutii. Kuna wengine wanamtajia wasichana niliowahi kuwa nao. Mwingine alifika mbali zaidi na...
Asilimia kubwa ya wanawake wanawaza kuwa na wanaume wenye fedha nyingi, magari mazuri nakadhalika, je ni wanaume wanangapi walivyo navyo hivyo vitu na je, hao wenye navyo wanakidhi idadi ya...
Salaam kwenu wanaJF, mi mvulana mwenye umri wa miaka 22, natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae, kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali, sibagui kabila wala dini ila umri usipishane sana na wa...
Jamaa alijikuta akimtongoza mkewe wa ndoa na kuumbuka kwa ukiwembe na tamaa zisizo na mpango maana mkewe ni mzuri na mwenye tabia njema. Kilichotokea ni kuwa jamaa alienda pale chuo cha IFM na...
wana jamvi habari za jioni? nimekuwa na jirani yangu mdada ambaye tumekuwa marafiki sana. ninamheshim mme wake na rafiki zake wengine wa kiume na yy anamfaham mpenzi wangu, lakini roho imeniuma...
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda mrefu sasa ingawaje kuna kipindi tulikorofishana na kutowasiliana nae kwa muda, lakini baada ya kuweka mambo yetu sawa na kuanza ukurasa mpya...
Mwenye kadhia hii jina kapuni......Anasema....Nakumbuka nilitembelewa na mama mkwe wangu,alikua anafanana sana na mwanae(mke wangu)siku ya fedhea hii nilichelewa kurudi kutoka kazini,nilipofika...
si swala la ukabila wala nini ni swala la ukweli halisi, hawa watu wanapenda hela balaa yani wako tayari kwa lolote ilmradi hela iwe mikononi mwao hasa mkiwa mmeshachumachuma vijimali utaipata au...
Kwa uchumba na kisha ndoa nahitaji rafiki mwenye vigezo vifuatavyo:
1. Awe amehitimu form 4 au chuo chochote
2. Asiwe mnene wala mfupi sana
3. Asizidi miaka 28
---Kazi yangu ni mwalimu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.