Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

A professor once said that the reason why women rejoice greatly during their weddings while the men keep a straight faces was because, the woman feels like:"oh, at last I have nailed him!" and the...
0 Reactions
116 Replies
12K Views
Dear Wana MMU, Shukrani za kipekee ziwafike kwa michango yenu ambayo binafsi, naamini imemnufaisha kila mmoja wetu si tu kwa mada ziliopostiwa hata kwa comments za wadau zenye ushauri mzuri wa...
13 Reactions
93 Replies
6K Views
Mvulana kamtumia msichana friend request,wanajuana tangu zamani tu,kama wanafunzi waliosoma pamoja.chakushangaza kusuggestiwa awa add kama marafiki ndugu zake yule msichana wote..kuanzia mdogo mtu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naombeni WASIFU wa mabinti wa Kinyiramba. .
0 Reactions
74 Replies
26K Views
Wanajamvi, Naomba mnijuze kwa wale wenye uzoefu na wale ambao bado hamjafanya maamuzi
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Natafuta mchumba,awe anajiheshimu,mchangamfu asiwe mrefu sana yan awe size ya kati and any colour is ok.nipo chuo kikuu cha afya muhimbili nasoma na na tutor wa kampala university am jas 23 of age...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Umeingia kwenye Bus una safiri, safari inayochukua zaidi ya masaa 20. Hukuwahi kukata ticket mapema, kondakta anakwambia zimebaki nafasi mbili ambapo unakuta seat ni 2 x 2 (abiria wawiliwawili)...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Nampenda na yeye ananipenda. Kinachoniumiza kuna watu wanaonifahamu wanamfeed mambo yangu ambayo hayamvutii. Kuna wengine wanamtajia wasichana niliowahi kuwa nao. Mwingine alifika mbali zaidi na...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Asilimia kubwa ya wanawake wanawaza kuwa na wanaume wenye fedha nyingi, magari mazuri nakadhalika, je ni wanaume wanangapi walivyo navyo hivyo vitu na je, hao wenye navyo wanakidhi idadi ya...
0 Reactions
105 Replies
12K Views
Girls with fake hair, fake nails, fake eyelashes,fake color skin,fake boobs,fake eyes and fake ass wonder why they can't find a real man???
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Salaam kwenu wanaJF, mi mvulana mwenye umri wa miaka 22, natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae, kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali, sibagui kabila wala dini ila umri usipishane sana na wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamaa alijikuta akimtongoza mkewe wa ndoa na kuumbuka kwa ukiwembe na tamaa zisizo na mpango maana mkewe ni mzuri na mwenye tabia njema. Kilichotokea ni kuwa jamaa alienda pale chuo cha IFM na...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Hivi hii kweli hii sentensi ya kweli au miye nimefikiria tu.. ?
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Im a man 25y,lookin for a ladyfriend with benefits in such a way that we y'all live w'out exploitin each other!! Ni PM kwa ajili ya kufahamiana zaidi!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wana jamvi habari za jioni? nimekuwa na jirani yangu mdada ambaye tumekuwa marafiki sana. ninamheshim mme wake na rafiki zake wengine wa kiume na yy anamfaham mpenzi wangu, lakini roho imeniuma...
0 Reactions
24 Replies
10K Views
Nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda mrefu sasa ingawaje kuna kipindi tulikorofishana na kutowasiliana nae kwa muda, lakini baada ya kuweka mambo yetu sawa na kuanza ukurasa mpya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenye kadhia hii jina kapuni......Anasema....Nakumbuka nilitembelewa na mama mkwe wangu,alikua anafanana sana na mwanae(mke wangu)siku ya fedhea hii nilichelewa kurudi kutoka kazini,nilipofika...
4 Reactions
59 Replies
7K Views
si swala la ukabila wala nini ni swala la ukweli halisi, hawa watu wanapenda hela balaa yani wako tayari kwa lolote ilmradi hela iwe mikononi mwao hasa mkiwa mmeshachumachuma vijimali utaipata au...
1 Reactions
166 Replies
18K Views
hivi ukijikuta umetokea kumpenda demu ambaye ana bf wake lakini naye anakufeel strategy ya dethronement inakuwaje?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau kwa yeyote anayejua hotels za bei nafuu bagamoyo tafadhali nijulisheni, nataka nikamalizie weekend yangu huko, asanteni wadau,
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Back
Top Bottom