jamani nimeona kuwa kwa sasa ili mwanaume apate utamu basi inabidi tuu mshiko umtoke kwa namna moja au nyingine...kiufupi kuhonga is a must ndio unapata demu
sasa kwa mwaka ujao naona tufuate angalizo hili
tukubali kuhonga ni sehemu ya mapenzi ila uhongaji shuld represent a true and fair market value ya huyo mwanamke.
nimekaa kufikiri hii market value tutaipataje?? ni vigezo gani vitatumika ili tupate market value ya mwanamke?
elimu? uzuri? ubunifu kitandani?? naomba tuongezee vingine
sasa kwa mwaka ujao naona tufuate angalizo hili
tukubali kuhonga ni sehemu ya mapenzi ila uhongaji shuld represent a true and fair market value ya huyo mwanamke.
nimekaa kufikiri hii market value tutaipataje?? ni vigezo gani vitatumika ili tupate market value ya mwanamke?
elimu? uzuri? ubunifu kitandani?? naomba tuongezee vingine