Barakaaaaa & Vigelegeleeee!!!!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,216
Usiku wa kuamkia leo Member mwenzetu Karachuonyo amepata Baraka ya mtoto wa KIUME ktk hosptali ya Saint Thomas hapa Arusha mjini na Mama na mtoto wanaendelea vizuri kbs! Hongera sana Mr & Mrs Karachuonyo!
 
Hongereni sana...MUNGU awalinde na kuwaongoza katika kipindi chote cha kumlea..
 
Usiku wa kuamkia leo Member mwenzetu Karachuonyo amepata Baraka ya mtoto wa KIUME ktk hosptali ya Saint Thomas hapa Arusha mjini na Mama na mtoto wanaendelea vizuri kbs! Hongera sana Mr & Mrs Karachuonyo!
Wafikishei hongera zao waambie hiyo ni sehemu tu ya majukumu. kazi ndo inaanza sasa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom