ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
Wakuu nimeombwa ushauri na rafiki yangu,naomba mawazo yenu pia...
Ni hivi: Mshikaji alikuwa na uhusiano na msichana wake wa kwanza uliodumu miaka minne hivi,katikati ya mwaka 2010 akakutana na msichana mwingine ambaye alianza naye mahusiano bila msichana wa kwanza kujua,baadaye msichana wa kwanza akajua basi akaamua kumwacha mshikaji but kwa shingo upande coz alikuwa bado anampenda na jamaa kwa vile alikuwa amenogewa na penzi jipya akaona poa tu,akawa ameachana na wa kwanza japokuwa mawasiliano ya kawaida yalikuwepo, Sasa hivi juzi ananiambia huyu she wake wa pili amemchosha coz she anawivu mbaya hataki hata atoke home,hata akipokea simu she anataka kujua ni simu ya nani,kifupi she anakaba paka penati,ukonvi wa kila siku usioisha na visirani,yaani haipiti wiki wanakwaluzana na issue kama hizi kwa she wake wa zamani hivi vitu havijawahi tokea,akisema hivi she anasema hivi,sasa jamaa anataka kumwaga na kurudi kwa yule wazamani coz bado wanawasiliana na she bado anamfili jamaa,wakuu toeni maushauri na mwenye swali ntajibu kwa niaba ya mshikaji coz namfahamu sana.Nawakilisha.....
Ni hivi: Mshikaji alikuwa na uhusiano na msichana wake wa kwanza uliodumu miaka minne hivi,katikati ya mwaka 2010 akakutana na msichana mwingine ambaye alianza naye mahusiano bila msichana wa kwanza kujua,baadaye msichana wa kwanza akajua basi akaamua kumwacha mshikaji but kwa shingo upande coz alikuwa bado anampenda na jamaa kwa vile alikuwa amenogewa na penzi jipya akaona poa tu,akawa ameachana na wa kwanza japokuwa mawasiliano ya kawaida yalikuwepo, Sasa hivi juzi ananiambia huyu she wake wa pili amemchosha coz she anawivu mbaya hataki hata atoke home,hata akipokea simu she anataka kujua ni simu ya nani,kifupi she anakaba paka penati,ukonvi wa kila siku usioisha na visirani,yaani haipiti wiki wanakwaluzana na issue kama hizi kwa she wake wa zamani hivi vitu havijawahi tokea,akisema hivi she anasema hivi,sasa jamaa anataka kumwaga na kurudi kwa yule wazamani coz bado wanawasiliana na she bado anamfili jamaa,wakuu toeni maushauri na mwenye swali ntajibu kwa niaba ya mshikaji coz namfahamu sana.Nawakilisha.....