Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Samehe mara saba sabini aijalishi mmetukana mmeishi miaka mingapi kwa style ya mgongo wa nne
rekebisha sasa badilika sasa rudi kwenye mke wako wa ndoa..tunza familia yako ukuzaa mwenyewe
jali familia yako ipende familia yako
weewe ulie kwenye familia aijaanza kutoa funza omba mungu anasikia na kubadilisha sana maombi ya mwanaume unapoombwa utarejeshwa tena..laani roho ya kurudi nyuma kubadilika..kuna watu wanateseka leo sababu ya wanawake waliowalalia kwenye guest ya kunguni na kuwekewa mark kwenye shingo leo inawatesa sababu aawajui src...laani yote uliyoyafanya mungu anasikiliza tobaa yako rudi prayer ina change inageuza kila kitu..aijalishi ulikuwa kama mbwa kila ukiona skirt athuman ananyanyuka gafla wapo waliozaidi yako leo wanatangaza injili
badilika penda familia yako rudi upya ubadili maisha yako...nawapenda wote nawaombea naamini mungu atasikia maombi yangu kwenu na wotee wamuwaminio.....kutoka nje ya ndoa na kwenda kuzaa watoto nje sio SOLN kuna watu wanatunza watoto si wao kwenye ndoa zao wengi tu tena wakiwa na watoto hao wanaringa angalia anafanana na mimi eehhh kataa hiyo ni moja ya laana za shetan usiporudi nyuma kama mwanamke ukabadilika utalea watoto yatima usiyojua bbaba zao mpaka mwisho.....
Kuna wakati unatakiwa ujue jinsi ya kujitoa..baibo inasema usipokuwa makiini utaoa mke utokaanayeye
so watchout tena watachukuliwa mikononi mwake...kulala azungumzii chumban kwako ..utaliona anachukua begi anasonga mbele hasira unajibu nenda nenda kumbe unaporwa mwombe mungu akurejeshe urudi
mwanz 20:3 umekuwa mfu sababu ya huyu mtu
..kuna mtu umekuwa nae amekupa mark hata uoe utabaki kuwa na laana zake milele mpaka ujue jinsi ya kujitoa kwenye laana ..inafika wakati mwombe mungu akuonyeshe wapi ulikosea ..wapo watu wakiomba mungu anawaonyesha wanawake wazuri waliotembea nao those days unashangaa unakutanana nae baada ya miaka 10 si kwamba ufanye nae agano tena la hasha tubu mwambie mungu najivua laana zote nilizozichota kutoka kwa ahuyu binti kataa na kama unajua na nguo uliyovaa sikuhiyo choma moto..unaweza kutembea na wanwake wengi tu lakini mmoja akakufanya usipate kazi..ukaoa usizae..ukapata mchumba ukaachika kanisani..sio kwamba umeachwa noo...rudi nyuma fanya mapping wapi umekosea ....
Wamauzi 14:1-13
rekebisha sasa badilika sasa rudi kwenye mke wako wa ndoa..tunza familia yako ukuzaa mwenyewe
jali familia yako ipende familia yako
weewe ulie kwenye familia aijaanza kutoa funza omba mungu anasikia na kubadilisha sana maombi ya mwanaume unapoombwa utarejeshwa tena..laani roho ya kurudi nyuma kubadilika..kuna watu wanateseka leo sababu ya wanawake waliowalalia kwenye guest ya kunguni na kuwekewa mark kwenye shingo leo inawatesa sababu aawajui src...laani yote uliyoyafanya mungu anasikiliza tobaa yako rudi prayer ina change inageuza kila kitu..aijalishi ulikuwa kama mbwa kila ukiona skirt athuman ananyanyuka gafla wapo waliozaidi yako leo wanatangaza injili
badilika penda familia yako rudi upya ubadili maisha yako...nawapenda wote nawaombea naamini mungu atasikia maombi yangu kwenu na wotee wamuwaminio.....kutoka nje ya ndoa na kwenda kuzaa watoto nje sio SOLN kuna watu wanatunza watoto si wao kwenye ndoa zao wengi tu tena wakiwa na watoto hao wanaringa angalia anafanana na mimi eehhh kataa hiyo ni moja ya laana za shetan usiporudi nyuma kama mwanamke ukabadilika utalea watoto yatima usiyojua bbaba zao mpaka mwisho.....
Kuna wakati unatakiwa ujue jinsi ya kujitoa..baibo inasema usipokuwa makiini utaoa mke utokaanayeye
so watchout tena watachukuliwa mikononi mwake...kulala azungumzii chumban kwako ..utaliona anachukua begi anasonga mbele hasira unajibu nenda nenda kumbe unaporwa mwombe mungu akurejeshe urudi
mwanz 20:3 umekuwa mfu sababu ya huyu mtu
..kuna mtu umekuwa nae amekupa mark hata uoe utabaki kuwa na laana zake milele mpaka ujue jinsi ya kujitoa kwenye laana ..inafika wakati mwombe mungu akuonyeshe wapi ulikosea ..wapo watu wakiomba mungu anawaonyesha wanawake wazuri waliotembea nao those days unashangaa unakutanana nae baada ya miaka 10 si kwamba ufanye nae agano tena la hasha tubu mwambie mungu najivua laana zote nilizozichota kutoka kwa ahuyu binti kataa na kama unajua na nguo uliyovaa sikuhiyo choma moto..unaweza kutembea na wanwake wengi tu lakini mmoja akakufanya usipate kazi..ukaoa usizae..ukapata mchumba ukaachika kanisani..sio kwamba umeachwa noo...rudi nyuma fanya mapping wapi umekosea ....
Wamauzi 14:1-13