Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hiki kiti kinaniudhi na bahati mbaya zaidi naamini kila mwanamke anacho..... ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo..... mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima,mpaka ukahisi labda...
15 Reactions
296 Replies
29K Views
On board the world's biggest cruise liner that missing Briton fell from during gay and lesbian party voyage The Mexican navy and coastguard are still searching for the unnamed man, who is aged...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
jaman i nid som 1 2 b ma valentine...serious!!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
"You can tell me anything." That's what a woman will tell you. By ‘anything', she means you can tell her what you really think of the atrocious new hairstyle that she is super excited about...
8 Reactions
56 Replies
4K Views
Jamani kwa nini usaliti umezidi katika mahusiano iwe kwa wapenzi au wanandoa kote ni the same ?
0 Reactions
3 Replies
949 Views
Hki ni kisa cha kweli kilichotokea Dar es Salaam kwenye miaka ya tisini na.... Na kilishawahi kuandikwa mahali na pengine baadhi ya wanaMMU wanakifahamu. Haya tuanze. Huyu rafiki yangu, naomba...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Nataka kujua juu ya mahusiano baina ya b na bwana.watu wawili wa jinsia mbili wanapokua ktkt mahusiano ni kweli mara nyingi mwanamke ndie anaekua mkweli katika love?naimanisha mwanamke ndie anae...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
FEBRUARI ni mwezi wa mahaba kama inavyojulikana kwa wengi. Ni kipindi cha kuonyesha upendo hasa kwa adui zetu, pia ni wakati wa suluhu na amani kuanzia kwenye familia hadi jamii. Zipo simulizi...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Naombeni ushauri wenu..alikuwa b.friend wangu kwa miaka 2 iliyopita kutokana na kale katabia nilikowaelezeni,siku za nyuma nikamwambia kama anataka kuoa atafute mke me bado nipo nipo..muda si...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
juzi Nilikwenda kenya kutembea nikaalikwa chakula chajion ikulu kuna msichana kanipenda na mimi sijampenda coz hana mvuto
0 Reactions
33 Replies
4K Views
..kicheche.. ..mcharuko yule.. ..mwizi tu yule.. etc Tofauti sana na kwetu.. Nahisi kama Wanaume twaheshimiana..
0 Reactions
27 Replies
3K Views
watanzania tumekuwa kama wanyama leo kafumaniwa mke wa mtu anapigwa miti kwenya gari
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Mambo mawili na makubwa hapa duniani kwetu wanadamu na yanakungoja kwa busara zako ili uchague. Kuna MAOVU na MEMA hayo yote ni kwa ajili yako ila kumbuka WEMA hauozi na UBAYA haulipi kwa hiyo...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
1 Reactions
69 Replies
5K Views
Kama ilivyo matumizi ya simu yalivyo badili mahusiano sasa kuna hili la matumizi ya kutumiana pesa kwa njia ya simu m-pesa,tigo-pesa..airtel money,z pesa na kadhalika....... je unafikiri...
4 Reactions
108 Replies
7K Views
Msifanye mambo kwa pupa mjiepeshe na tamaa za dunia, fanyeni mambo kwa mipango sio mbio mbio, kama uwezo wako ni mdogo kwanini watamani mambo makubwa ambayo yako nje kabisa ya uwezo wako, Maovu...
3 Reactions
28 Replies
9K Views
Ivi huwa mnapenda wanaume wenye sauti zipi?swali la nyongez,eti ni kweli huwa hampendi wakaka ambao hawana sauti yenye besi?
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Sifa za rafiki ninaemtafuta awe mstaarabu, mwenye uwezo wa kunishauri wakati nitakapohitaji ushauri, awe sirious.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huduma za saluni (wanaume na wanawake) zimekua sana Tanzania. Ila kwa kweli zinaweza zikakuharibia pendo usipokuwa makini. Tazama 1. Huyu dada kaenda kutengeneza nywele, jilulize atakuwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
utafiti uliofanywa unathibitisha kwamba asilimia 70 ya akina baba wengi wanalea watoto ambao sio wa kwao. kwasababu wenye uhakika wa watoto hao ni mama zao tu. sasa kama hali ndio hii nashauri...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…