what should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno
Kulia na kuliwa ndio maisha ya bongo mzaziFisadi alisha kulia mke wako nini.
Condoms does not cost that much little manUmejuaje hilo red?? Au ulimwona kwenye kiduku?? Acha zako bana...kwa ufupi mafisadi wengi na Mapedeshee usithubutu kupita walikopita, angalia usije anza mwaka vibaya na ARV.
mmmh, utoto bangidu tupu.
Yani bongo yote hujaona isipokuwa huyo mke wa fisadi hahaha...haya kale angalia tu huyo unasema fisadi asije akafanya mambo ya kifisadi kwako tu.Kulia na kuliwa ndio maisha ya bongo mzazi
Hatuna nguvu yakupambana nao kwahiyo bakora tu kwa wake zaoYani bongo yote hujaona isipokuwa huyo mke wa fisadi hahaha...haya kale angalia tu huyo unasema fisadi asije akafanya mambo ya kifisadi kwako tu.
nyambafu!
Kwa hio unachapa tu bakora.Hatuna nguvu yakupambana nao kwahiyo bakora tu kwa wake zao
Ha ha haaa umenichekesha sana dada Lizzy!....mie nina mmoja toka kitambo na hivi karibuni kanitoa kiasi fulani.Mchukue ili na wewe uje kufanywa mke wa pili wa fisadi.
Mkuu,kama hii habari yako ni yakweli....basi usiangalie uzuri wake wala hiyo figure yakewhat should I do mke wafisadi mzuri ana figure nzuri na anajua kukata kiuno