Mambo mawili na makubwa hapa duniani kwetu wanadamu na yanakungoja kwa busara zako ili uchague. Kuna MAOVU na MEMA hayo yote ni kwa ajili yako ila kumbuka WEMA hauozi na UBAYA haulipi kwa hiyo kabla ya kutenda jambo KWANZA tafakari matokeo yake kwani ukipanda mbegu ya MAOVU na MAVUNO yake ni MAOVU pia. Mungu kakupa kila kitu akili unayo ufikirie na ndio maana Mungu alituumba wanadamu tofauti kabisa na Wanyama hivyo basi kumbuka mshahara wa dhambi ni MAUTI na Mtenda MEMA MUNGU humlipa kwa MEMA.
Note:
Ubaya hauna Cheo na Wema nao Hauozi, UKITENDA MEMA TARAJIA MEMA.
Note:
Ubaya hauna Cheo na Wema nao Hauozi, UKITENDA MEMA TARAJIA MEMA.