juzi Nilikwenda kenya kutembea nikaalikwa chakula chajion ikulu kuna msichana kanipenda na mimi sijampenda coz hana mvuto
Meaning kijanakwaajili ya afya ya mtoto pempazi ikilowa kwa mkojo inabidi abadilishwe avikwe ingine haraka..
drhryuvngjtu ffffffn gjkyihkgj,gj
juzi Nilikwenda kenya kutembea nikaalikwa chakula chajion ikulu kuna msichana kanipenda na mimi sijampenda coz hana mvuto
msameheni jamani alikosa cha kupost!Hongera mkuu kwa kupendwa na mtoto wa raisi; big up! Naamini kwa umaarufu wako si muda mrefu utapendwa pia na raila odinga baadaye kibaki mwenyewe.Baada ya kenya haikosi utapata mwaliko ukatoe penzi Uingereza David Cameroon.
juzi Nilikwenda kenya kutembea nikaalikwa chakula chajion ikulu kuna msichana kanipenda na mimi sijampenda coz hana mvuto
juzi Nilikwenda kenya kutembea nikaalikwa chakula chajion ikulu kuna msichana kanipenda na mimi sijampenda coz hana mvuto
msameheni jamani alikosa cha kupost!
Haaaaahaaahaaa duh kweli kuwa binadamu yahitaji moyo, maana maajabu ya dunia yote lazima uyashuhudie au kusikiawatakufata wengi sana...
Siyo watoto tu... Hata wazazi wao.. Haitapita wiki kabla ya kuleta uzi ya kuwa umezimikiwa na David Cameron...
We tulia tu..
msameheni jamani alikosa cha kupost!
I second that.una sifa gani mpaka ualikwe ikulu? umejuaje kama n mtoto wa rais? au ndo mambo fb unataka kuyaleta jf? ebu chapa lapa, kama sura n mbaya umeambiwa na mashine ni mbaya? hacha kutuletea adithi za kusadikika! zipeleke fb, we ***** nn?