The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kama ilivyo matumizi ya simu yalivyo badili mahusiano
sasa kuna hili la matumizi ya kutumiana pesa kwa njia ya simu
m-pesa,tigo-pesa..airtel money,z pesa na kadhalika.......
je unafikiri mahusiano yame athirika kwa kiasi gani sasa?????
nini kimeongezeka zaidi?faida? au hasara??????
kwa uzoefu wangu wanaume wengi 'wanaona hii teknolojia' imewasaidia wanawake
zaidi since wanaume ndo 'main provider' kwa sehemu kubwa ya jamii....
imekuwa rahisi 'kuchunwa' kwa kupigiwa tu simu na kutakiwa utume pesa....
na wengine wanaona now ni rahisi hata 'kumzidi mtu' maarifa kwa njia hii
na wengine wanaona 'utapeli' wa mapenzi na 'wizi' umerahisishwa......
je wewe waonaje ?
uzoefu wako ukoje kwa hili????????
sasa kuna hili la matumizi ya kutumiana pesa kwa njia ya simu
m-pesa,tigo-pesa..airtel money,z pesa na kadhalika.......
je unafikiri mahusiano yame athirika kwa kiasi gani sasa?????
nini kimeongezeka zaidi?faida? au hasara??????
kwa uzoefu wangu wanaume wengi 'wanaona hii teknolojia' imewasaidia wanawake
zaidi since wanaume ndo 'main provider' kwa sehemu kubwa ya jamii....
imekuwa rahisi 'kuchunwa' kwa kupigiwa tu simu na kutakiwa utume pesa....
na wengine wanaona now ni rahisi hata 'kumzidi mtu' maarifa kwa njia hii
na wengine wanaona 'utapeli' wa mapenzi na 'wizi' umerahisishwa......
je wewe waonaje ?
uzoefu wako ukoje kwa hili????????