Ni tukio la kweli ambalo limetokea Juzi hapa nilipo kwa
Kijana mmoja kapoteza maisha kisa penzi ka barmaid
Kijana mwenyewe ana umri kati ya miaka 28 -30 hivi kachomwa kisu bar na kupoteza...
Jana, asubuhi maeneo ya Mbagala mama mmoja alizimia ghafla baada ya kuona asichokitegemea.
Kwa muda wa miezi miwili mtoto wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja alikuwa anasumbuliwa na fangasi...
WANAWAKE WENGINE NI WAZURI KIASI KWAMBA AKIWA NA BWANA HOE HAE KAMA MIMI HATA NIKIPORWA NA PEDESHEE, ITABIDI UGUZE MOYO, NA KUSONGA MBELE KUTAFUTA MWINGINE.
HEBU CHEKI KITU HIKI KIMEKAAA KAMA...
..Mkuu YoYo akiwa na waifu wake ambaye jina lake halikuweza kupatikana.
..nyingine ya ukumbusho na 'wapambe' wa harusi
Akielekea kwenye hoteli kwajili ya honeymoon..tunasikitika sana usafiri...
Hivi hawa ni marafiki wa kweli au ni wa mashaka?, wapo wananwake wa hivi pindi wakiwa na wanaume wao, wanawabembeleza lakini wana siri kubwa moyoni ya kuwatafunia mali zao tu,
je wa kwako yukoje?
Muenzi Mke Wako
Kwa kuoa huchukui tu mke, Bali unachukua ulimwengu wako mzima. Kuanzia hapo mpaka maisha yako yote mke wako atakuwa mwenzio, mwandani wako, na rafiki yako mpenzi...
Kwanza ifahamike mapema ninapozungumza dalili za asiyekupenda kwa dhati, sina maana nachonganisha watu katika ndoa zao, ila kuwatanabahisha kaka zangu kugutuka katika maisha yao ya kila siku...
Jamaa mmoja alikuwa akitokea shamba pamoja na
mkewe. Wakiwa njiani waliona uyoga, wakaung'oa na
kwenda nao nyumbani kwa lengo la kwenda kupika na kuula. Lakini kabla ya kufika nyumbani, wakahofu...
Hello everybody. I thought I should register with JF and see if ms right can befound for mr right (of Tz origin) with the following profile:
38-year old educated (PhD level), working for...
KWA MAANA WOTE WAMEFANYA DHAMBI NA KUPUNGIKIWA NA UTUKUFU WA MUNGU!!!AKUNA ALIE PERFECT MPE NAFASI MWENZI WAKO AKIKOSEA
KUINGIA kwenye ndoa ni jambo zuri, lakini unatakiwa kuwa makini na aina...
Onana na mshauri wa ndoa zinazolega lega
mtaalam hashimu/kim
tel:0712 30 87 11 ama 0712 97 57 98
usikubali kuvunja ndoa yako..uwezo unao kuiponya ndoa yako wahi sasa kabla aijasambaratika
A man loved a girl who studies computer science. He sent her a letter saying:
I LOVE YOU MORE THAN MY COMPUTER Believe me it is true...
You installed the best in me. Your picture is always in my...
Siku ya Wanawake Duniani ni jumatatu 8/3/2010. Napenda kutoa wito kwa Jamii inapaswa kuondokana na na vitendo vya dhuluma na nyanyaso kwa wanawake na wasichana, vinavyodhoofisha afya zao na...
Mimi na rafiki yangu tulienda cinema jana, tulipokuwa njiani kurudi binti akasema angependa kuwa kissed kama Richard Gere anavyokiss...then akasema anapenda french kiss na itabidi aende Paris...
Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....
kama hii niliyotumiwa juzi....
"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.