Ngomo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 200
- 95
utafiti uliofanywa unathibitisha kwamba asilimia 70 ya akina baba wengi wanalea watoto ambao sio wa kwao. kwasababu wenye uhakika wa watoto hao ni mama zao tu. sasa kama hali ndio hii nashauri alikina baba tukapime DNA kuhakikisha watoto tulio nao ni wa kwetu