Unashangaa nn? Afadhali hao wameweza kujisitili at least ndani ya gari watu wanawakunja vichochoroni kweupeeeee! Hizi ni siku za mwisho wa dunia ww!!!!
Inategemea na sexual fantasy yao. . .siyo kwamba kufumaniwa kwenye gari ni kukosa pesa ya gesti, pengine wameshafanya sehemu nyingi na zimekua too monotonous(zimejirudia rudia) so kuongeza raha, imagine doing it in a RRS(Range Rover Sport)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.