its no doubt kua ndoa inaugumu wake, tena sana tu...knowing that, y watu hawaachi kuoa na kuoana? maisha ya mahusiano raha tupu, mkishindwana mna bwagana. ila ndoa!!!
Hivi huu msemo wa ndoa ni ngumu nani kautoa
na ndoa ni ngumu kwa kivipi
Ni nini ambacho ni kigume kwenye ndoa
na kwa nini huyo anayesema ndoa ni ngumu asiulizwe amefanya utafiti kwa ndoa za nani na nani
isije ikawa anazungum zia ndoa yake kwa kufananisha na ndoa za wengine na kusema ni ngumu
Tatizo la baadhi ya watu wanaingia kwenye ndoa just for fashion unatarajia hii ndoa itadumu kweli? mmekutana club kesho yake ndoa tarajia maudhi tuu katika ndoa yako
Tatizo la baadhi ya watu wanaingia kwenye ndoa just for fashion unatarajia hii ndoa itadumu kweli? mmekutana club kesho yake ndoa tarajia maudhi tuu katika ndoa yako
hawataki kukubali ukweli halisi na ndo maana wanakuja na maelezo kuwa ndoa ngumu
Up and down zipo na huwezi kuwa na glass zisigongane ila biashara ya kusema kuwa ndoa ni ngumu haipo bana
hiyo ni kwa watu wanaojaribu kujustify mambo yao ndo maana wanakuja kuishia kusema kuwa ndoa ni ngumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.